Search results

  1. Junior R

    Ushauri kwa UDOM, UDSM na vyuo vyengine

    Hapa mkuu umeeleza ukweli sana. Tatizo la nchi yetu kila kitu kinafanywa kisiasa zaidi. Hamna haja ya kua na graduates wengi wa kada moja wakati uwezo waliojengewa ni mdogo sana. Binafsi sipendezewi na hii tabia ya duplications ya course wakati wanajua kabisa trainers wazuri na wakutosha hatuna
  2. Junior R

    Mhe. Masele: Kiongozi Kijana TZ asiyeogopa lolote (CV Attached)

    CV ndogo sana ni tofauti na mleta mada alivyoisema. Ila kama mleta mada ni std 7 hii CV kwake ni kubwa sana. Anyway sijaona kikubwa hata kimoja hapo
  3. Junior R

    Amini usiamini Passport ya Tanzania si kitambulisho rasmi jimbo la California...

    Poleni sana ndugu mlioko CA, .Ubalozi wetu inabidi ulifanyie kazi haraka sana
  4. Junior R

    Mjadala: Tatizo la kujieleza kwenye usaili wa kazi

    pole sana ndugu yangu. La msingi kuzidi yote ni kua na self confidence yaani husiogope kitu chochote .We relax tu kua na amani kabisa ukiwa interview. Pia husiwaze zaidi kwamba una uhitaji zaidi wa kazi kwani hiyo inaweza kua inakusababishia ushindwe kujieleza vzuri. Hii situation inaitwa over...
  5. Junior R

    Nyaraka muhimu kwa Maombi ya Kazi; Barua, CV /Resume na Rejea

    acha uzembe wewe,muda uliotumia kupost hii threat ungeutumia ko-google ukaona template za CV zikoje
  6. Junior R

    Elimu yetu ndipo ilipofikia hapa

    Hii ndo nini? Kumbe hata wewe hujui eeh!!!
  7. Junior R

    nimebaki njia panda kuhusu huyu binti

    Dah! ndugu yangu nakushauri epuka kilio cha mwanamke juu yako kama unataka kua na maisha yenye nehema. Wapo tena virukanjia wa mjini wanakusubiri uachane na huyu dada ili ukipate cha moto. Hata hivyo nakushangaa kuona hata hufikirii familia yako hapo mbeleni kwani shule lazima umalize na Mungu...
  8. Junior R

    Wanavyuo wetu vipi tena? Au ndo kizazi cha dotcom?.

    Pamoja na mfumo wetu kua mbovu, bado swala la juhudi binafsi lina nafasi yake tena kubwa tu.Mimi ni Graduate wa kileo na nina uwezo mzuri wa kujieleza na kufanya kazi vizuri ktk profession yangu. Hapa napingana na generalization yako kwamba siku hizi Graduate hamna kitu
  9. Junior R

    Wanavyuo wetu vipi tena? Au ndo kizazi cha dotcom?.

    Hapo ndo linakuja suala la uwezo binafsi sasa. sio lazima wote wawe na uwezo sasa wa kujieleza. Na ndo maana siku hizi mtu akipata divIII au II anaenda chuo,kitu ambacho hakikuwepo hapo awali kwani wngi wao walikua wanapata div I ndo wanachaguliwa kwenda chuo kikuu. So lazima tofauti ziwepo...
  10. Junior R

    Wanavyuo wetu vipi tena? Au ndo kizazi cha dotcom?.

    Kulala chuoni inategemeana na ratiba yako ikoje. Mfano mimi nilikua nasoma mpaka usiku wa manane kama najua kesho yake kipindi kinaanza saatatu au nne.Hivyo nilikua nachelewa kuamka. Pia kumbuka kila mtu ana malengo yake awapo chuoni, wengine ili mradi tu asidisco wengine wanatafuta first au...
  11. Junior R

    Ni uchovu?!?

    mh! hii inahitaji wenye ndoa,mie simo!
  12. Junior R

    Wanavyuo wetu vipi tena? Au ndo kizazi cha dotcom?.

    suala la kuzurura mtaani au kulala sana ni kwa sababu wengi wao hawana kazi. Hapo nyuma waliokuwa wanahitimu chuo kikuu karibia wote walikua wanapata kazi. Uwezo wa wahadhiri mimi sidhani kama umepungua ,bali pengine ni kukata tamaa na mwenendo mzima wa kazi. Mfano mtu unaanza mwaka wa kwanza...
  13. Junior R

    Hivi kwa nini USA Wanapenda watu wawe Kama Wao

    Yaani umeonge suala ambalo hata mimi najiuliza kulikoni hawa jamaa, mbona anajifanya wao ndo source of good mind yaani wanataka dunia nzima ifuate watakavyo wao,shame on them!!
  14. Junior R

    Hivi kwa nini USA Wanapenda watu wawe Kama Wao

    Yaani umeonge suala ambalo hata mimi najiuliza kulikoni hawa jamaa, mbona anajifanya wao ndo source of good mind yaani wanataka dunia nzima ifuate watakavyo wao,shame on them!!
  15. Junior R

    Ushauri:ingekuwa ni wewe ungefanyaje???

    Binafsi naona huna mume hapo,hilo ni gumegume.Yaani baba mzima analala nje wakati ana mke ndani!!! Analala kwa nani! .Dada yangu jipange sasa wake up time is not your again. Do what you are scared to do. Maamuzi magumu ndo yatanusuru maisha yako na mtoto wako.
  16. Junior R

    Mke, Mama na Muajiriwa - Unashika lipi?

    La! Nimejikuta nimelog in ghafla. Namuonea wivu mumemo maana kwa busara hizi ni wazi kua wewe ni mke mwema. Yaani kila siku zingekua zinajadiliwa mada kama hizi hapa basi maisha yetu yangebadilika sana na tungepiga hatua kubwa ya ukombozi wa kifikra ambao ungetuletea maendeleo zaidi. BACK TO...
  17. Junior R

    Niko njia panda

    Mh! NIMESHTUKA NDUGU! Maana niko huku ughaibuni masomoni,sasa GF aliyeko huko nyumbani siku hizi anazingua. Sasa sijui ni wewe!!!?.I need more time for this
  18. Junior R

    NACTE:Janga lingine la kuangamiza Elimu Tanzania

    Mh! Mpaka 2015 tutaona na kuyaskia mengi sana. Mungu ibariki Tanganyika na Zanzibar
  19. Junior R

    Huu ushuhuda ni upendo au kashfa?

    Mimi nitachangia kuhusu hiyo elimu. Tangu lini form 6 akajiita yuko juu..!? Watu wameolewa na std 7 wakati wao ni PhD holders. Pia hiyo sio kashfa kwa sababu alisema ukweli japo hakustahili kuusema mahali pale. Kwa hiyo huyu dada aukumimwe kwa kusema vile mahali pasipohusika wala sio kashfa
Back
Top Bottom