Mimi ni mgeni kabisa katika uchangiaji lakini ni msomaji mzuri sana wa JF. Naomba niulize. Kuna mtu ameniambia kuwa mwenyekiti wa CCM katika hatua zake za awali wakati anaanza kampeni za kugombea urahisi alitamuka kuwa "atatengeneza matajiri 100 katika kipindi chake ambao wataweza kuwakwamua...
Mabadiliko katika jamii ni hatua (process) ambayo lazima kuwepo watu wa kujitoa mhanga ili vizazi vijavyo viishi katika hali nzuri. Kama Sitta atazimwa na CCM na akapotea kwenye uringo wa siasa zetu, ameshapanda mbegu. Tuombe mbegu ikuwe wengine wajitoe, hasa hasa ili katiba yetu ibadirishwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.