Sio kama magari ya kutoka Zanzibar yanachukuliwa kama ya kigeni, yanachukuliwa kama ndio kwanza yamekuwa imported. Hata ukiomba kibali cha muda hakipatikani. Hata hivyo, gari zinazotoka Kenya na nchi za jirani yanapatiwa vibali vya kutembea barabarani bila ya matatizo yoyte yale, udumu muungano....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.