Haamini kama Legendary wake kaongea maneno ya ukweli, ujue nini wenzetu hawanaga unafiki kama sisi wabongo wanaongea ukweli hata kama wengine hawapendi kuusikia.
Nakubali na wewe mkuu huyu Martin Tyler alikuwa na mwenzie Andy Gray Enzi hizo Skysports wakitangaza mpala raha takwimu na information plus history za wachezaji.
Kutoka kulipwa mil 100 kwa mwaka mpaka bilion 2 kwa miaka 2 unasema wamepigwa dah...huu mwanzo tu subiri tuone mwisho wa mkataba utajua nani kapigwa au kashinda.
Sawa endelea kuwatetea hivyi hivyo..unafikiri watu wote wanaosema hivyo hawacheza mpira? Kataa ukubali kutegemea hawa watoto wawili hatuwezi fika au chukua chochote labda wabadilike.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.