Mie nina kiwanja mitaa hiyo heka 1 jirani na vikindu mjini nauza milioni 3. Saabu ya kuuza natafuta ada ya chuo.
Hati ipo na ikiwezekana tuuziane mahakamani kwa usalama zaidi.
Kuna wengine hapo wala hawajaolewa na hao wazungu wameishia kuzalishwa tu na kuachwa maana hao wazungu walikuja bongo kwa mkataba wa kazi baada ya mkataba kuisha wamerudi kwao na hao wadada kuachiwa machotara.
Nyumba inauzwa ipo gongo la mboto mwisho wa lami, ina vyumba 4, jiko choo na uwanja mkubwa.Bei ya kuuza ni milioni 20.Mwenye kuhitaji na kutaka kuiona apige simu namba 0769 393533 hii ni namba ya mmiliki wa nyumba.
Wanajamii forum natafuta sehemu ya kufanyia field,nipo chuo kikuu cha dodoma nasomea B.com. Tumepewa wiki 2 ili tutafute sehemu za kufanyia field, kwa sasa nipo hapa Dar nimekuja kutafua hiyo sehemu, and then nikishaipata mwenzi July ndio nitakuja kufanya filed.
Kwa kuwa hapa jamii forums kuna...
Hakuna lolote wala hawapati ukazi kihalali kuna watu wanajilipua kwa kujifanya wakimbizi ili wapate makaratasi. Wengine wanafunga ndoa za biashara na ni risk kweli kweli hadi wengine walikufa huko Detroit kwa kufunga ndoa za makaratasi na watu tofauti halafu wakapigwa risasi wote mtu na mchumba...
Wewe Omega hapo juu kweli umenena nyie wenyewe mnaotoa comment hapa msikute mpo illegal kwenye nchi za watu. Hao illegal immigrant in Tanzania nao wanatafuta maisha kama nyie mnavyotafuta maisha huko majuu.Hebu acheni kuwasema kama vp rudini home muwafukuze.
Eliza ni ushamba hakuna kitu kingine hata kama ana boyfriend mzungu naona huyo mzungu ni choka mbaya. Mnakumbuka siku ya kwanza alivyokuwa analia lia kwamba hakwenda shule kwa kuwa hana pesa, kama mzungu angekuwa na pesa asingelia lia kivile.
Inabidi awe serious kama anataka pesa, aondoe...
Natumaini wazima wana JF,
Mimi nina tatizo la kutojisikia kula chakula, sipati hamu ya kula kabisa. Sasa yapata miezi 6 nina hili tatizo. Nimetumia vidonge vya vitamini B lakini bado hilo tatizo lipo. Tafadhali anayefahamu njia ya kuliondoa hili tatizo aniambie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.