Unaonaje ugombee hio nafasi ili uje utujengee hizo njia nane...!!!!!
Wewe kama mwenyekiti/Rais wa familia yako, umetekeleza njia nane kwenye familia yako
Mtoa mada, una elimu gani na umri gani?
Wasilisha changamoto zako kwa Afisa Elimu Kata, akishindwa uende kwa Afisa Elimu Wilaya, akishindwa muone mkuu wa wilaya au DED.
ILA KWA CHANGAMOTO HIO, HATA UKIMUONA MWENYEKITI WA KIJIJI anaweza kuwasaidia.
Wewe ni Mwalimu usie na akili.
Sijui unafundisha nini watoto wetu huna uadilifu na uvumilivu.
Hivyo hata watoto wetu unawafundisha tabia za ukosefu wa uadilifu na uvumilivu
Kwa sisi watu wa kawaida, ukikaa na mwanamke miezi miwili bila cheti cha ndoa ni mke halali akienda mahakamani kudai talaka mbona mtagawana hadi vijiko
Ila ni kweli, nami namshauri ajiongeze kwa kusoma masomo ya bible, atakuwa vizuri katika kuhubiri, kwani atakuwa anacheza na akili za watu na kuwatabilia sana kutokana na elimu yake ya unasihi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.