Watu wengi wamekuwa wanajiuliza ni kwa nini sasa kuna ufisadi sana kuliko miaka ya nyuma,wengi wa viongozi wamekuwa matajiri katika kipindi kifupi sana,uku wakiacha wananchi walio wengi katika umasikini mkubwa wa kupindukia.chanzo kikubwa sana cha ufisadi kilianza miaka ya 1993 baada ya TZ...
Jamani ni lazima tuwe makini sana,Rwanda,na Burundi mambo yalianza kama hivi.kuna picha kubwa hapa inaendelea bila watu wengi kujua,Mwanakijiji kuwa makini sana na unachoandika kwani watu wengi sana tunakutegemea katika mambo mengi sana,pengine unaweza kuwa kiongozi wetu wa baadaye kwani mambo...
Muda ni mdogo sana inabidi anzeni kuwatangazia wabongo kwenye web mbalimbali,blog ,na balozi zote na inabidi kuwe na special website on this sumit.pia muunde kamati maalum kwa jambo hili iwe na watu wenye sifa na maadili na si wahuni,wazo lenu ni kubwa sana na pengine mnaweza mkawa ndio chanzo...
Du kweli hii ni kubwa sana kama mtaweza kufanikisha jambo hili,naomba isiwe domo tu kwani watz wana mambo mazuri mengi sana vitendo kidogo,wazo zuri sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.