kwa anayefahamu jamani naombeni mnisaidie juu ya hili, kwa waliomaliza form six mwaka huu 2014, principle inaanzia ngapi D au C? na je kama mtu katika matokeo yake amepata grades CDE kwa matokeo ya mwaka huu anaweza kujinga na diploma au degree?
Kwa kifupi ni kwamba blog ni aina ya website ambayo inajulikana kama Web Log na kuchukuliwa herufi ya mwisho ya Web ambayo ni "b" na kuunganishwa na neno zima la mwisho ambalo ni Log na kuwa Blog. Unaweza kuwa umeshawahi kusikia kuhusu Static and Dynamic websites. Blog inaweza kuwa ndani ya...
Nini maana ya Kufeli au kufa kwa moyo? (Heart failure) Na nini kisababishi?
Ingawa inaweza kuleta maana hiyo Lakini kufa kwa moyo haina maana kwamba moyo umeshindwa kufanya kazi au umefeli. Kufeli kwa moyo ni hali mbaya sana ambayo moyo hausukumi damu ipasavyo katika mwili. Upande wa kulia wa...
Siku hizi matusi yamekuwa ni viunganishi, vivumishi na vihisishi katika Lugha ya kiswahili. Angalia sentensi hizi hapa chini:
1. Dah yaani we ni Mxx..nn..zz!! ile mbaya umeweza kuruka pale!!!
2. nilipomuona tu! K..um..@ ni..n@ nikarudi haraka sana.
3. wakati wanapigana pale yaani we acha tu...
jamaa alipata tetesi kuwa mkewe anaingiza buzi ndani kila anapotoka. siku moja kwa mtego akarudi mapema sana huku akiwa na shauku ya kumfumania mkewe.
lakini hakumuona huyo jamaa, lakini alimuona mkewe akiwa na wasiwasi sana hivyo hali hiyo ilimfanya aamini kuwa anachoambiwa ni kweli, hivyo...
nilikua natembea njiani, kwa mbaaaaaaaaaaali nikaona watu wawili wakigombana, sasa wakaniita nikasuluhishe uwo ugomvi....... mmmh mpaka sasa hv nasulihisha ngoja nimalize nitawaambia.
Habri zenu wana JF,
Ningependa kwa yeyote mwenye ujuzi wa hili anipe ushauri... miaka 6 iliyopita nilikuwa nacheza mchezo wa karate, katika hali ya kurusha ngumi nikasikia mshutuko katika mfupa wa kifuani (Stermun) hali hiyo ikanifanya nisiweze kuendelea na mchezo tena. nilitumia dawa za...
Mwanamke Zuzu alikuwa na mchumba wake Zuzu,
baadaye uhusiano ulivunjika. Zuzu mwanaume alikuwa akimsumbua sana
kumpigia na km2mia sms yule mwanamke Zuzu kila
siku mpaka mwanamke Zuzu akawa anachukia. Zuzu mwanamke akaamua
abadili SimCard, alipoweka ile mpya tu akam2mia
sms Zuzu mwanaume...
Samaki mkunje ............ mpaka anye!!
Siku za mwizi .............. inategemea kama ni mwanaume hana siku.
polepole ndiyo ............ slow motion
asiyesikia la mkuu .......... ana phone masikioni
aliye juu ................ mlenge na manati atashuka
mtaka cha uvunguni ................ toa...
eti wana JF kweli, mtu na akili zake katika muda lakini masaa machache tu utakula na kama bado si ataenda shule ila ni vema ukasaini mikataba ujue kwamba kuandika hamna neno basi tu ni hali ya maisha kwani usumbufu huu hata juzi mvua ilinyesha lakini ukweli mahakamani huwezi kabisa kufahamu siku...
KATIKA MAISHA VITU VIWILI VINAHUSIKA
Aidha uzaliwe mwanamke au mwanaume. Ukizaliwa mwanamke, uko salama. Ukizaliwa mwanaume, vitu viwili vinahusika.:rockon:
Aidha ukae nyumbani au uende kufanya kazi. Ukikaa nyumbani, uko salama. Ukienda kufanya kazi, vitu viwili vinahusika.
Aidha ufanye kazi...
siku hizi watu wanang'aa katika mitandao ya kijamii kwa kutumia cream ya Photoshop. cream hii hata uwe na uso kama fenesi lakini zinatolewa zoooooooooote unakuwa na sura mpyaaaaaaaaaaaaaaaa!!! ngoma upate appointment ya kuonana weeeeeehhh kazi inakua hapo sasa...
DHANA YA UKEKETAJI
Ni moja ya tatizo sugu sana linalowakabili wanawake katika jamii nyingi. Imekadiriwa ulimwengu mzima kuwa wanawake takriban milioni 120 wamekumbwa na tatizo hili. Wanaounga mkono ukeketaji husema kuwa ni sehemu muhimu sana katika maisha ya kiutamaduni na kidini, na wengine...
Kumbuka kuwa:
uwongo umesababisha watu kuingia katika uhusiano kimakosa.
Umesababisha watu kulea watoto wasiokuwa wakwao.
Umesababisha watu kuhukumiwa makosa yasiyokuwa yao.
Umesababisha wenye hatia kuonekana hawana hatia.
Umesababisha watu kudhulumiana.
Umesbabisha marafiki, ndugu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.