Asante mkuu nitalifanyia kazi nimeona mahali pia wanasema muda mwingine inaweza kuwa inasababishwa na kufa kwa u joint hivo ntafania kazi yote haya nione kama tatizo bado litakuwepo
Ni kweli mkuu ila asante sana nimefanikiwa kupata kingine sasa hivi nimebaki na tatizo moja ambalo bado linanichanganya kidogo nilikuwa nikikimbia speed ikifika 120 gari ina vibrate sana pia nikishika brake napata iyo vibration hadi sterling inavibrate sasa mara ya kwanza nilidhani labda ni...
wakuu nissan dualis inasauti mbaya kama exahaust ina tundu lakini nilifungua nikakuta yale masega hayapo je hii inaweza kuwa sababu na naweza pata wapi masega
Thank you so much for this piece of information,i have been through a deep shits since yesterday battling the fear my body was weak but i thank God i wake up with this useful post my God bless you....You serve my life
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kiuhalisia sio kila mtanzania anaweza kumiliki kiwanja kikubwa sana kulingana na gharama hivo hii inamsaidia hata mtu ambae anakipato cha kati kuweza kupata ardhi na kujenga nyumba ya ndoto zake kiwanja ni kidogo lakin nyumba standard inakaa apo na parking unapata angalia kwa mfano sinza...
Mchakato mzima wa upimaji ulifanywa na manispaa ya ilala hati zikatolewa na wizara ya ardhi nyumba na maendeleo ya makazi mkuu samahani kwa kuteleza
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo wembamba ni wa kawaida tu unajenga nyumba nzuri tu kwa standard unaweza acha 1.5m hivo nyumba inafit kwenye mita 9 na ikawa nyumba nzuri sana
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.