Ehe juu ya magari tena! Kama umewaalika watu kwenye harusi yako inamaanisha hao ndiyo uliotaka uwatangazie au wawe ndiyo shuhuda mbele ya mungu! sasa ukipita mitaani ukijidani ndiyo tujueje? Siku ya harusi unatakiwa uwe ndiyo malikia/mfalme ukae uhudumiwe watu wakupongeze pale ulipoandaliwa sio...
Jamani nyie wadaku mbona hivyo? watu mkiwapa dhamana ndiyo kwamba maisha yao ya kawaida wayaache? Nyie mlijuaje mambo ya utamu? na wao wasifanye? Eheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.