Mhn...! kama una details, kwa nini usipeleke ushahidi kunako husika? wewe, lazima utakuwa ni mtu mbaya kuliko mchawi ambaye akikuua aanaua moja kwa moja, bora mchawi anakuchukua msukule, siku Mungu akikupitia, unarudi duniani. Lakini wewe ni muharibifu, unataka kushauri watu kuwa wewe ni mmoja...
Mhn...!
Mungu ailaze roho ya Marehemu mahali pema peponi na atupe busara za kuweza kuyatengeneza maisha yetu sisi tuliobaki ili tuweze kuenenda kwa kadri ya mapenzi yake na hatimaye tu urithi ufalme wa mbinguni pale tutakapoitwa kwake.
Amen
....nimenyeshewa mvua ya baraka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.