TZ inaendelea kufanya vizuri kwenye mambo ya amani pamoja na mauaji ya watu wanaoandamana kwa amani, askari kupiga raia hovyohovyo, nk. Tusubirie siku za usoni matukio za ZNZ, ushari wa akina Ponda, nk. yatatuweka wapi!
List ....
1 Iceland (Vinara)
2 Denmark
2 New Zealand
4 Canada
5...
Mauaji holela ya raia TZ na askari au dola yamekuwa yakitokea kila kukicha, na yamekuwa yakijirudia rudia. Wauaji wamekuwa wakijitetea kwa sababu nyepesi nyepesi. Bahati mbaya sana record huwa haziwekwi. Hebu tujaribu kuweka record sawa kwenye thread hii.
2005 todate
Songea (watu ?)
Arusha...
Nadhani wakati umefika wa kuanzisha noti kubwa zaidi ya sh 10,000 (~$6/~4). Noti ya 10,000 ni ndogo sana ... yaani imekuwa hadi mtu unajukuta unaenda ATM kila siku! Haya, na huko kwenye ATM zetu, uwepo wa pesa ni bahati, foleni kama kawa, etc. Tuondoleeni hii kero.
Hii mbinu ya serikali/CCM kutumia vifungu vya misaafu ''out of context'' kuhalalisha kushindwa kazi inazidi kukua! Kila anayeshindwa kujieleza anatafuta mstari ktk msaafu na kuu''spin'' anavyotaka! Na nyinyi maaskofu, wachungaji, mashehe, maraabi, etc. kemeeni. Vitabu yenu vinashushwa hadhi ..
Hivi ndivyo inavyoripotiwa nje ya Tanzania (hii ni moja tu kati ya nyingi nilizioona). Viongozi wa CCM wawe makini wasije wakafanya tukawekewa vikwazo kama Zimbabwe (Mugabe na genge lake walivyofanywa).
Wandugu hii picha na tangazo (la kampuni fulani ya nchi fulani ya ughaibuni) inatumika ku-promote utalii TZ. Hebu soma text kwenye hiyo picha. Inaonekana mpangilio mbovu wa mji wa Dar es salaam sasa imekuwa kivutio kikubwa cha kitalii pia .....
Aibu kwenu mliopewa dhamana ya kuongoza mji/nchi.
Hawa watawala ni wazuri kweli katika kubuni kero. Unatoka na gari lenye sticker safi ya insurance na road licence (ambazo kila mtu anajua zinachangia ktk pato la taifa). Halafu unasimamishwa na traffic police kwamba huna sticker ya usalama barabarani (zinazofadhiliwa na kampuni la simu) na...
Wiki chache zilizopita nilitakiwa nitoe taarifa wazazi wangu walizaliwa lini na wapi. Nikataja mwaka na kwamba walizaliwa Tanzania. Jamaa akaniuliza nina uhakika mara tatu na mimi kwa kujiamini nikamwambia ndiyo. Baada ya muda akaniambia haiwezekani! Nikamwambia labda kwenye database yake...
Hivi kuna Vita kati ya Tarime na Rorya? Au ni utengenezaji wa news? Maana nimesikiliza recorded BBC Swahili News bulletin, na kama kawaida news kwa vyombo vingi vya habari huwa ni habari mbaya mbaya tu, waka'cover' Irak na mabomu yao, Somalia na kukatana miguu na mikono, Iran na vurugu zao, kesi...
Kwangu mimi huu ni Ushauri wa hatari kwa nchi iliyojiwekea misingi ya uhuru wa kuabudu kwenye katiba yake. Yaani watz 200 wakitaka kuabudu wasihalalishwe kuabudu! Idadi gani ni halali?
Haya ni baadhi ya majumuisho kwa haya yanayoendelea huko UK:
Hawa wanasiasa wetu (bila kujali nchi, race, dini, nk) hawatofautiani sana kimaadili.
Hawa wa UK wanarudisha hela walizoiba (kwa staili ile ile ya EPA), lakini pia sheria itachukua mkondo wake.
Pamoja na kwamba hela walizoiba hawa...
Nadhani tuna kazi kubwa tu ya kusafisha jina na Tanzania. Leo ktk maongezi ya hapa na pale na jamaa ambao hata hawajawahi kufika Tz mmoja wao akaibua swala la maujaji ya Albinos TZ - nadhani makusudi akijua natoka Tanzania. Nikanywea kama vile nimemwagiwa maji - sikutarajia kwa kweli. Mmoja wao...
Jamani hebu angalieni maajabu!
YouTube - Japanese finance minister drunk at G-7
Huyu ni Mkulo wa Japan (Japanese Finance Minister) alipokuwa kwenye News Conference wakati wa mkutano wa G-7 Rome. Halafu anakanusha hakuwa amelewa!
Bahati yake hakuna ''The Home of Great thinkers" huko...
Counting is under way in Israel after polls closed in the country's snap general elections.
Results are expected to be close, with preliminary exit polls giving the ruling Kadima Party 30 seats to 29 for the opposition Likud.
Right-wing Yisrael Beitenu is forecast to be third, pushing...
Msolla aunda kamati ya kuchochea sayansi
James Magai
WAZIRI wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Profesa Peter Msolla ameunda Kamati ya ushauri katika masuala ya Teknolojia na Mawasiliano ambayo pamoja na majukumu mengine itaishauri Serikali namna ya kuwavutia vijana wasome masomo ya...
This is lawlessness/lack of civil order of highest order. Where is our moral obligation ( at least in layman's terms)?
____________________________________________
Date::1/15/2009 - Wamuua dereva wakidai kaiba nyama - WAGAWANA NYAMA, WATEKETEZA GARI
Frederick Katulanda, Mwanza
SI jambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.