#Serikali naona imesahau kuwashukuru/acknowledge juhudi zilizofanywa na 'first responders' na misaada kutoka wadau mbali mbali (.. ikiwa ni pamoja Serikali ya Kenya)
Haya mawili yameifanya serikali yetu ionekane kwamba ipo ipo tu. Wanatia mkazo mkubwa kwenye mambo yasiyo na umuhimu kama ukuta na Shein kunyimwa mkono.
Kumbe JPM anadandia vitu vilivyoanzishwa na watangulizi wake na kuvitumia kujipatia ujiko .. reli anajinadi ni yeye, kuhamia Dodoma ni yeye, daraja la kigamboni ni yeye, . hizi sifa kwa JK zitakuwa zinawakera sana watu aina ya akina Makonda
JK (na A. H. Mwinyi pia) walikuwa ni maraisi ambao walichukulia urais kama taasisi... walikuwa wanasikiliza sana ushauri wa mbalimbali na wa kitaalam tofauti na JPM (na hata Mkapa na hata Nyarere) ambao wakati mwingine wanalazimisha mambo
... kwa kweli inasikitisha sana kuona eti leo mtu anaongoza vipindi vya umbea umbea halafu bila training yoyote kesho anapewa jukumu la kuongoza halmashauri. Watu kama Salim A. Salim, Wassira, na wengineo Nyerere aliwapeleka shule kwanza kabla ya kuwateua ktk nyadhifa mbalimbali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.