Sisi wapenzi wa mpira tunapoenda kuangalia mpira Uwanja wowote ule kwa malipo maana yake sisi ni wateja inabidi tuheshimiwe kama wafalme kama kauli mbiu inavyosema kuwa mteja ni mfalme.
Nikizungumzia uwanja wa Taifa wa Mkapa ambao ndio uwanja mkubwa na bora kuliko vyote nchini kwakweli huduma...
Suala la kikokotoo limekuwa ni mwiba mkali kwa wastaafu katika nchi hii huku kundi dogo la wanaofaidi keki ya taifa wakitaka kikokotoo kiwepo kwa wastaafu wakati wao hakiwagusi wanachumua mamilioni yao kwa mkupuo wakijufanya wao ndio wenye akili zaidi ya kujua matumizi ya pesa kuliko wafanyakazi...
Huo ni fitina wanatengeneza makundi ya kichawa ya kujikomba na kusababisha migawanyiko. Kuna wajinga wengine waliaanzisha walichoita eti Jukwaa ;a Walimu wazalendo Bashiru wakati huo akawapiga marufuku. Hawa nao wanaangalia udhaifu wa uongozi uliopo kuwa unataka sifa sana
Toka kampeni ya kumchangia Rais Samia pesa za kuchukua fomu makundi mbalimbali yameendelea kujitokeza kumchangia. Hivi toka walipoanza wakuu wa shule mpaka sasa PM naye kaenda kuchangisha wanawake hazijatimia?
Je, ni kweli mheshimiwa hana uwezo wa kulipia fomu mpaka achangiwe? Hivi aliomba au...
Hakuna biashara inayofanywa na serikali ikafanikiwa. Wizi mtupu. Serikali inatakiwa kujenga miundo mbinu na kuachia sekta binafsi ifanye biashara serikali ikusanye kodi. Basi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.