Weeeee, mwalimu Mbise alifariki muda mrefu sana.
Alipata uvimbe tumboni ukawa sababu ya kifo chake. Alitufundisha English kuanzia form one mpaka four. Apumzike kwa amani Mwl Mbise. Mr Kapinga nae alishafatiki pia. Alikuwa anafundisha B/K na commerce
Usiseme hivi.
Wakati nabadilishiwa simu, Redmi 10 zilikuwa zimeisha, nikaongeza hela kidogo nikapewa note 10s...
Laki 530 miezi miwili tatizo ni lile lile. Nimejaribu kuweka screenshot ya hiyo overheating alert Naona Nimeshindwa, natumia browser.
Usawa huu simu natoa wapi tena?
Subiri...
Nilitumia Redmi 9c, haikuwa na shida, ikaibiwa, Japo baadae nikaja kuipata but tayari nimeshanunua Redmi 10. Hii Redmi 10 ndio baada ya muda ilianza usumbufu wa kuchemsha. Na sasa ni Redmi note 10s.
Au pengine kuna namna nakosea matumizi, Japo mimi sio mgeni wa kutumia smartphone.
Wakuu salama?
Nilinunua Redmi 10 mapema mwaka huu, baada ya miezi michache ikaanza kupata moto sana na kumaliza battery haraka nikapeleka kwa agent aliyeniuzia wakapeleka service center mwisho tatizo halikuisha, wakanipa device nyingine hiyo hiyo brand ya Redmi, but note 10s. Miezi miwili sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.