Natumaini siku moja mungu akipenda tutakuwa na viongozi wenye kuwajibik.Wakati mwingine hujiuliza kama wanamfikiria mwananchi wa kawaida na jibu lake ni hapana.
Ukiwapa wabunge magari ambapo moja linakosti Tsh 50000000,na wakati hosipitali hakuna dawa sidhani kama unakuwa na akili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.