Search results

  1. hugochavez

    CCM mnapalilia rushwa utaratibu wa wajumbe kupiga kura

    Chama Cha mapinduzi kinatarajia kutumia mfumo mpya wa wajumbe wa mkutano mkuu wa Jimbo/wilaya kupiga kura za maoni kupendekeza wagombea Ubunge . Utaratibu huu ni hatari sana kwakuwa unachochea rushwa kwakuwa wapiga kura ni wachache hivyo wagombea wenye fedha nyingi watawanunua kwa gharama...
  2. hugochavez

    Hali ya Kisiasa: Ridhiwan Kikwete anapumulia mashine Jimboni

    Mbunge wa Jimbo la Chalinze Ridhiwan Kikwete anapumulia mashine Jimboni kutokana na hali mbaya ya kisiasa uchaguzi mkuu 2020 hali inayomfanya ashindwe kuhudhuria bunge la bajeti na kuweka kambi Jimboni kufanya kampeni . Ridhiwan Kikwete amekosa uungwaji mkono kutokana na utendaji wake dhaifu na...
  3. hugochavez

    Uchaguzi 2020 Mwigulu Nchemba Vs Kiltila Mkumbo jimbo la Iramba Magharibi

    Jimbo la Iramba limekuwa na vita vikali kati ya Mwigulu Nchemba (Mbunge wa sasa aliyewahi kuwa Waziri pia) na Katibu Mkuu wa sasa Wizara ya Maji Prof. Kitila Mkumbo. Wasomi hawa wamekuwa na msigishano wa hapa na pale na kufanya Jimbo sasa kuangalia zadi watu waofaa badala ya kuangalia nini...
  4. hugochavez

    Shujaa wa Singida aliyetumia Mvua ya mawe kupambana na Wajerumani

    Kuhusu hili la kutengeneza mvua wazungu wenyewe wameandika haya maelezo ya kihistoria . wamekiri kwamba ilikuwa ni miujiza ya ajabu sana . Sent using Jamii Forums mobile app
  5. hugochavez

    Shujaa wa Singida aliyetumia Mvua ya mawe kupambana na Wajerumani

    Reference: Beyond Bodies , Rain Making and Sense making - Mwandishi Todd Sanders. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. hugochavez

    Shujaa wa Singida aliyetumia Mvua ya mawe kupambana na Wajerumani

    SHUJAA WA SINGIDA ALIYETUMIA MVUA YA MAWE KUPAMBANA NA WAJERUMANI -Ni Kitentemi wa Isanzu- Mkalama -Aliweza kutengeneza mvua wakati wowote na kuituma kwa Maadui zake wajerumani na kuihamisha mvua anavyotaka ielekee . Na ALFRED RINGI KITENTEMI mwanaume shujaa wa Singida aliyepambana vita...
  7. hugochavez

    Uongozi wa CHADEMA Taifa unaisha muda wake siku ya Ijmaa tarehe 14.09. 2019

    Taarifa nilizodokezwa kutoka ndani ya CHADEMA ni kwamba uongozi wa chama hicho Taifa unaisha muda wake siku ya ijmaa tarehe 14.09. 2019 na kama hawajafanya uchaguzi msajili wa vyama siasa Nchini atalazimika kukifuta chama hicho au kukitaka kisitishe shughuli za kisiasa Nchini. Hata hivyo...
  8. hugochavez

    Rais Magufuli aipaisha Tanzania kiuchumi

    Kwa kipindi kifupi alichokaa madarakani Rais Magufuli ameonyesha uwezo mkubwa sana wa kujenga miundombinu ya Uchumi wa Nchi, ameweza kujenga na kuimarisha mifumo ya utendaji kazi na ameweza kuisimamia ipasavyo. Rais magufuli ameibuka kuwa kinara wa ujengaji uchumi na maendeleo kwa watu wake...
  9. hugochavez

    Taasisi ya vijana yatumiwa na mabeberu kuhamasisha ushoga nchini

    *VIJANA NI TUNU YA NCHI KUKOSA UZALENDO NI USALITI* Na Mzee Kiruu Vijana wengi wa kitanzania kwa kupitia asasi mbalimbali wamekuwa wakitumiwa na Mabeberu kuchochea machafuko na fikra za vibarakara. Hii ni kwasababu ya kukosa Uzalendo na tamaa za kupata mafanikio ndani ya muda mfupi. Moja...
  10. hugochavez

    Ikulu, Dar: Rais Magufuli akutana na Wafanyabiashara Wakubwa kutoka kila Wilaya nchini. Ataja changamoto za biashara kwa Serikali na Wafanyabiashara

    Pia baadhi ya wafanyabiashara wamejenga viwanda kama geresha tu. Kuna majengo ya viwanda lakini bidhaa zinatoka nje
  11. hugochavez

    Ikulu, Dar: Rais Magufuli akutana na Wafanyabiashara Wakubwa kutoka kila Wilaya nchini. Ataja changamoto za biashara kwa Serikali na Wafanyabiashara

    Rais ametaja changamoto za wafanyabiashara kuwa ni ukwepaji kodi, kutelekeza mitambo ya viwanda waliyobinafsishiwa, udalali nk
  12. hugochavez

    Ikulu, Dar: Rais Magufuli akutana na Wafanyabiashara Wakubwa kutoka kila Wilaya nchini. Ataja changamoto za biashara kwa Serikali na Wafanyabiashara

    Rais Dkt John Magufuli anaongea na wafanyabiashara Nchini ambapo katika hotuba yake ametaja vikwazo vikuu vya biashara Nchini kuwa ni Rushwa, utitiri wa kodi na tozo, ukosefu wa mitaji, Mawakala wa TPDF na utitiri wa taasisi zinazosimamia biashara. Rais JPM anaendelea na hotuba na atawakaribisha...
  13. hugochavez

    Tanzania kuiuzia mahindi Zimbabwe tani 700,000

    Rais Magufuli akiwa Zimbabwe amefungua fursa ya soko la Mahindi nchini Zimbabwe, sasa Tz itauza tani Laki saba (700, 000) za zao hilo Nchini Zimbabwe kwa kila mwaka. Tanzania inapaa kiuchumi, Rais Magufuli anafungua fursa.
  14. hugochavez

    Rais wa Bank ya Africa: Magufuli is a Bold Reformer

    *AfDB President: Magufuli Is a Bold Reformer* By Special Correspondent, Dar es Salaam The Fifth Phase Government under the leadership of the President Dr. John Pombe Magufuli, has continued to be commended on the vast development reforms taking place in the country. The African Development...
  15. hugochavez

    Duni Haji audanganya umma, TCRA wanasajili laini kieletroniki kwa kitambulisho cha taifa

    *MZEE JUMA DUNI HAJI UMEUDANGANYA UMMA KUHUSU KITAMBULISHO CHA MZANZIBAR MKAZI.* Anaandika Abdallah Juma Makame mzanzibari halisi Kiukweli Mzee Juma Duni Haji umekosea sana na umeudanganya umma juu ya kitambulisho cha uzanzibar mkazi kushindwa kuthaminiwa na kuwa kimekataliwa kutumika katika...
  16. hugochavez

    Sheikh Ponda, Kundecha waanzisha deci ya Kiislam, watuhumiwa kuwadhulumu waislam

    SHEIKH PONDA, KUNDECHA, WAANZISHA DES YA KIISLAM,WAWADHULUM WAISLAM. Mwenyekiti wa Baraza kuu la Taasisi za kiislam Mussa Kundecha kwa kushirikiana na Sheikh Issa Ponda Katibu wa baraza hilo na katibu wa shura ya maimam Tanzania wanamiliki DES inayotumika kuwatapeli waislam hapa Nchini. Miaka...
  17. hugochavez

    Magufuli atashindwa uchaguzi wa mwaka 2020

    Magufuli atakuwa rais wa tz hadi 2025 Sent using Jamii Forums mobile app
  18. hugochavez

    Team Magufuli vs Team Mafisadi

    Hoja hupingwa kwa hoja sio kwa vioja. Kamalizie kupika baba anataka kula ana njaa
Back
Top Bottom