Mbona mwaka 2015 bara walijitokeza 46. Hapo wengi hawautaki urais isipokua wanataka teuzi tu kutoka kwa Rais atakaepita lazima ataikumbuka tu timu yake ya wachukua fomu wenzie 32.
Kama JPM waliochukua nae wengi walilamba uteuzi na uwaziri.
Wadau naomba kuuliza maswali mawili mwenye kujua anielekeze.
1. Wale wenye followers wengi Instagram hadi wanakuwa na tick ya blue hivi wanapata hela au inakuaje, yaanikiufupi wanapata faida gani na ile tick ya blue?
2. Wasanii wakiwa wametoa nyimbo wakiiweka kwenye YouTube wakipata views...
Tuache ushamba bana taa za barabarani sio issue kubwa hata kidogo kwanza zinatumia sollar tutembee tuone ndio tutaamini ni swala dogo sana.Nenda zanzibar uone taa za barabarani zipo barabara nyingi tu ukipita usiku zinawaka
Sasa hv inauzwa hatupati kitu tangu miaka na miaka sasa tukiizuia hata tukikosa wa kumuuzia tutapata hasara gani? Wacha tuizuie inawezekana wajukuu zetu wakaja kuiuza na kupata mafanikio tele? Coz hata hao walioitetea sio wao wanaofaidika sasa ni vizazi vyao,pia tusiwe waoga kuwa nani atainunua...
Mm shule ninayofanya kazi wameshahama walimu watatu wa kike tena wote ni nje ya mkoa sijui hizi njia za panya ni kwa ajili ya wanawake tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.