Search results

  1. S

    Historia ya Wimbo wa Taifa wa Tanzania na mtunzi wake

    Unaweza kutupatia link ya hiyo hotuba ya London, Uingereza, tarehe ishirini na sita mwezi wa Juni mwaka 1959 kwenye mkutano uliohutubiwa pia na Father Trevor Heddleston?
  2. S

    Who is superpower in EAC? TZ or Kenya?

    Sijui swali lako linalenga wapi. Kama unazungumzia muktadha wa EAC suala muhimu si nani economic powe house. Suala muhimu ni kwamba kila nchi itafaidika vipi na mfumo wa ushirikiano wa kiuchumi (economic integration) uliopo. Kwa uelewa wangu ambao kila nchi ina fursa ya kufaidika na EAC. Mjadala...
  3. S

    Sofia Simba na Sakata la Mafisadi na Wapiganaji!

    Hivi kweli unadhani JK anaweza kumwondoa SS? Kama ameshindwa kuwaondoa akina Chenge, Rostam kutoka katika nyadhifa zao CCM atawezajekumwondoa huyo Waziri?
  4. S

    Mtanzania anayeishi Guangzhou

    Je kuna yeyeote anayefahamu Mbongo anayeishi Guangzhou, China? Nitatembelea huko hivi karibuni. Kama unafahamu nieleze jinsi ya kumpata
  5. S

    Updates uchaguzi serikali za mitaa - mtaani kwetu

    Jana nilikwenda kipiga kura saa 3 asubuhi. Kituo kilikuwa hakijafunguliwa na wala hapakuwa na dalili wala taarifa yoyote. Nilisubiri hadi saa 3.30 na baada ya kuona hakuna kinachoendelea nikaondoka kwenda kwenye shughuli zangu. Wakati nikiwa kituoni, walikuja watu wengi na wakaondoka kwa kukata...
  6. S

    Waziri Magufuli apata PhD

    Nani alisema viongozi wa siasa hawawezi kupata Phd kutoka UDSM? Magufuli tayari alikuwa na M.Sc ya UDSM na alianza kusomea hiyo Phd miaka 5 iliyopita. Sasa politicization inatoka wapi?. Mh Magufuli anastahili pongezi. Kwani tofauti na wanasiasa wengine (Nchimbi, Mary Nagu, Mahanga, Chegeni, etc)...
  7. S

    Pinda azidi kushangaa

    Namuunga mkono Keil kwa 100% Kwani nini kinamzuia kusema "Naagiza kwamba kuanzia sasa viongozi wote wa serikali, ukitoa Rais na Makamu wake, watumie magari yasiyozidi cc 2000. Wenye magari yanayozidi ukubwa huo wawe wameyarudisha Wizara ya Ujenzi ifikapo 31 Dec 2009" ili yauzwe". Kwa kuongoza...
  8. S

    Spika Sitta Kung'olewa?

    Sikujua kuwa nawe ni kuwadi wa mafisadi. Acha ujinga wako
  9. S

    Maamuzi ya NEC ya CCM na Hatima ya Spika Sitta

    Kitendo cha Spika Sitta kukaangwa kwenye kikao cha NEC kinadhihirisha kwamba mafisadi wana ngivu isiyo na kifani na hata wamekiteka chama cha CCM, pia wameiteka dola. Wabunge wa CCM wanaopinga ufisadi inabidi wajipange upya. This war must not be lost.
  10. S

    Kingunge amechanganyikiwa?

    Amechanganyikiwa haswa! Nilidhani atazungumzia mapungufu wa Waraka, kitu ambacho hakukufanya kabisa. Haitoshi kusema dini isichanganywe na siasa. Mbona mara nyingi katika matukio mbalimbali wanasiasa hukaribisha viongozi wa dini wawaombee?
  11. S

    Electronic voting

    Ni Wakati Tume ya Uchaguzi ya Taifa ifikirie kutumia electronic voting. Isisubiri hadi watu wachinjane. Hebu soma:- "Kenya may adopt an electronic voting system by 2012 should stakeholders and the Interim Independent Electoral Commission (IIEC) agree. Yesterday at the National Conference...
  12. S

    Meremeta Report: Released to the Public (Revised & Free!)

    Shukrani. Nitaleta comments zangu baada ya kuipitia
  13. S

    Mh. Dr. Jakaya Kikwete

    Ni doctorate ye heshima aliyopewa na Jomo Kenyatta University kutokana na mchango wake wa kuleta amani Kenya baada ya vurugu ziizotokea baada ya uchaguzi wa 2008
  14. S

    Listi ya wabunge MATAJIRI Tanzania

    Kwani inasaidia nini tukiwaorodhesha? Kuna walio pata utajiri kwa njia ya halali kabisa. Wengine wapeupata kwa jia ya ufisadi.
  15. S

    Visa ya Malaysia

    Je wabongo tunahitaji visa kwenda Malaysia? Na kama tunahitaji wapi tunapeleka maombi kwani kwa habari nilizonazo hakuna ubalozi wa Malaysia hapa.
  16. S

    Barabara nne Chalinze - Segera hadi Tanga

    Mnakumbuka wakati akiwa Waziri wa Ujenzi Mhe.Magufuli alisema hawezi kujenga flyovers DSM kwa kuwa sehemu nyingi nchini hazina barabara. Matokeo yake ndiyo tunayaona katika msomgamano jijini Dar. Hivyo hatuwezi kusubiri eti barabara zingine zijengwe ndipo mradi huu uendelee. Lazima...
Back
Top Bottom