Sultan aliyetoka Oman kwao ije kuwa Uingereza? Angalia pia takwimu zako za matokeo ya uchaguzi wa 1963.Sultan anaishi Potsmouth Uingereza kama uhamishoni.
Katika vitu vya kijinga kwenye relaionship ni kutikisa kibiriti karibu na petrol, na huwa sifanyagi hayo NEVER maana mimi mtu akinitishia kuniacha huwa ndo bye bye sibembelezi hata kama nimefika bei. Kwa kulitambua hilo huwa nikiamua kuachana na mtu normally huwa siagi wala sijielezi yani huwa...
Apparently hata kuvunjika kwa ndoa yake pamoja na allegations nyingi alizotoa ex wife wake lakini na yeye pia anadai kikubwa ni kuhusu huyu huyu mtoto wake kwamba ex wife alikua hampendi na alikua anambagua kiasi kwamba mtoto akakimbilia kwa babu yake. Kitu nilichokuja kugundua ni kwamba hata...
Nimekuelewa mno ndugu! Najua kabisa kitu kipya sio lazima kiwe bora zaidi kuliko cha zamani na ndio maana mie huwa si mtu wa kuondoka kwenye relationship mara nyingi huwa nabaki hadi mwisho kabisa....hata hapa nitaendelea kubaki kuona upepo unavyokwenda na mimi sitashindana na upepo nitaelekea...
Hata mimi huwa naliwaza mno hilo suala, maana nahisi inaweza tokea siku akanifurumusha nje....Nachomlaumu ni kwamba, nilimsisitizia mno kwamba ayamalize na mkewe kabla hajamove on na mtu mwingine.... kidesign moyoni naona kama hatutafika mbali maana ni shida mno aiseeee....sasa why hakumbembelez...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.