Pole sana kwa yaliyomsibu mdogo wako, me simshauri kabisaa aache ndoa yake bila kujua sababu inayomfanya mumewe awe vile.
Chamsingi awaite viongozi wa dini awaeleze iloswala mbele ya mumewe ninauhakika kama mke ndiye anayemkwaza ni lazima atasema na mambo yatakaa sawa.
Ndoa si lelemama...
kwahiyo ulitaka apige mayowe na kugaragara chini kwenye basi ili watu wajue kuwa anamajonzi?
Wakati mwingine tuweni wastaarabu katika mambo kama haya ijoz anahaki kabisa kuingia mtandaoni na kutujuza sisi kama rafiki zake ilituweze kumfariji katika kipindi hiki kigumu na si kumvunja moyo kama...
Pole sana ijoz kwa msiba ulio kufika, najua upo katika kipindi kigumu sana ila Mungu akutie nguvu katika kipindi chote hiki cha majonzi.
Mungu ailaze roho ya mama yetu mpendwa mahali pema peponi.
AMEN.
Ha ha haa... Yaani nimecheka mbaya nilivyoisoma title nilizani ni mwanamke mwenzetu kumbe ni dume loh!
Me nadhani we sio rizki, mwanaume asifiwi sura babu coz hata beberu anayo!
We kaa ujisifie sura na shepu uone wanaume wenzio watakavyokufanya.
huo utafiti waliufanyia wapi mpaka wakabaini hivyo.
Mbona kwa wenyeji wangu huku SAME ni wafupi balaa lakini kila cku wanajazana wodini mpaka wanakosa vitanda kwaajili ya kujifungua?
So kwa upande wa kuzaa sikubaliani na wewe ila kwa upande wa kuckia maumivu waki do nawanaume warefu...
mmmh! Mwanamke mzuri ni kero tena? Kwani ukipita na mbaya ndio hawakukodolei mimacho? We hujawajua vizuri walimwengu hawanajema hata kidogo tena ukisema uende kwenye part huku uko na demu wako asiyeeleweka lazima wata kunanga tu kwa maneno ya kejeli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.