Nenda katembelee ofisi za Shirika la Taifa la Maendeleo ( NDC ) wako posta ya zamani jirani na mahakama ya Rufaa. ingia kwenye website yao www.ndc.go.tz au piga namba 0658692903
Mshana niendelee kutumia tu hio chumvi kwa shughuli zote hizo hadi tatizo Liishe? Niliacha kutumia kwasababu muda mwingi sipati usingizi nashinda nikiwa mchovu
Pumzika kwa amani. Nakumbuka nikiwa mdogo tuliishi nae kwenye flat za NHC alikuwa akiishi kwenye floor ya juu kabisa, ajabu aliweza kufika mpaka kwenye room yake na shughuli zingine zote alikuwa akifanya mwenyewe. Hii ilikuwa inishangaza kweli.
Nimekumbuka mtaani kwangu kuna mzee mmoja wa kanda ya kaskazini aliwahi kwenda manispaa kuomba kibali afukue watoto wake 4 akawazike kule alikozaliwa, manispaa ilimruhusu kufukua 2 na zoezi walisimamia wenyewe. Nimewaza tu kwanini aliwazika dsm ilihali alikuwa na uwezo wa kuwasafirisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.