Hiyo mikoa inayonunuliwa umeme kutoka nje haiko kwenye gridi ya taifa. Kwa hiyo lile ongezeko la umeme kwenye gridi ya taifa haliwezi kuwanufaisha kwa kuwa hawajaunganishwa!
Unamchukia kwa kuwa anakuzidi kwenye kujenga hoja za kutetea chama chake kuliko wewe unavyotetea cha kwako kwa porojo na udaku. Una post nyingi zaidi za kumpromote Makonda kuliko kukielezea chama chako na wanasiasa wake akina mdude.
Kama aligombana na kila mtu, maana yake si ni kwamba hata wauza ngada walikuwemo humo kwenye "kila mtu"?
Another bullshit post about Makonda from nyumbus !!
Mbona kizuri cha kujua pesa za join the chain nyie hamuweki hapa tukajua wote? Au hicho kizuri cha kukula na nduguyo ni kile chao tu, lakini cha kwako kinakuwa kichungu kula na nduguyo?
Mkuu naona hauko serious. Hapo hakuna gari ya kulingana na Toyota kwa uimara. Nakubaliana na hoja kwamba tunapigwa sana kwenye bei, nadhani tunapigwa kwa sababu sisi wenyewe tunapenda kupiga cha juu kwenye kila tenda, lakini kwa ubora na uimara Toyota ni #1.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.