Search results

  1. UmkhontoweSizwe

    Sugu apata soko la maharage nje ya Nchi, Wakulima kazi kwenu

    Kama hujui, kwa taarifa yako hiyo phrase ni ya kibaguzi.
  2. UmkhontoweSizwe

    Sasa ni Rasmi Magufuli amegoma kufa!

    Vitu vya kipumbavu ni vikina lisu, mbowe, lema, nk.
  3. UmkhontoweSizwe

    Hatimaye Dotto James aonekana hadharani

    What is it?
  4. UmkhontoweSizwe

    Geti la Airport lliivunjwa wakati wananchi wakitaka kumuaga Hayati Magufuli

    Ninamiss huu utendaji kwa kweli: https://youtu.be/SAseTq_131k?feature=shared
  5. UmkhontoweSizwe

    Feitoto aituliza nchi

    Mods, hamisha hii peleka kwenye jukwaa la michezo. Fei Toto siyo mwanasiasa!
  6. UmkhontoweSizwe

    Hatimaye Dotto James aonekana hadharani

    So what?
  7. UmkhontoweSizwe

    Neno Amirati lililotaka kuwa mbadala wa Amiri Jeshi Mkuu Asili yake wapi?

    Ningemjua aliyewapa jina la nyumbu ningempiga ofa ya kunywa na kula mpaka mwenyewe aseme basi ametosha 😄😄
  8. UmkhontoweSizwe

    Hizi ni dalili kuwa CCM hawamtaki Rais Samia?

    Kwani kupambania legacy ya Magufuli ndiyo tumeanza sasa? Sisi mbona tumekuwepo muda wote, na misimamo yetu haijawahi kuyumba hata mara moja?
  9. UmkhontoweSizwe

    Ni viongozi gani waliaminiwa na JPM na ndani ya miaka mitatu tayari wamemsaliti kwa kauli na matendo?

    Na kuna wakati yeye mwenyewe alianza kumnanga na kumpiga vijembe.
  10. UmkhontoweSizwe

    Je, unaweza kuniambia ni kwanini mpaka leo Tanzania ni maskini?

    Tatizo ni zaidi ya ccm. Ingekuwa tatizo ni ccm peke yake, basi chadema sasa hivi kingekuwa chama cha kupigiwa upatu kila mahali kwa kuleta revolution ideas za kimaendeleo. Lakini wapi, hata kiwanja tu cha kujenga ofisi ya makao makuu ya chama hawana! Kama tunataka kupata solution halisi ya...
  11. UmkhontoweSizwe

    Baada ya Maandamano Tundu Antipas Lissu amekuwa kimya sana, kulikoni?

    Mkuu, kidhungu ulijifunzia wapi? Mwalimu wako hakukufundisha ile kanuni ya "no any"?
  12. UmkhontoweSizwe

    Baada ya Maandamano Tundu Antipas Lissu amekuwa kimya sana, kulikoni?

    Mwezi mchanga huu, nadhani washauri wake wamemshauri atulie kwanza mpaka mwezi ufike magharibi.
  13. UmkhontoweSizwe

    Msaada wa chakula toka USA ni kuichafua Tanzania

    Solution yake ni simple tu, mnautoa kwenye package zao na kurepackage kwenye zetu; wahanga wa mauaji ya genocide huko Gaza wanapata mlo.
  14. UmkhontoweSizwe

    Msaada wa chakula toka USA ni kuichafua Tanzania

    Serikali iutoe msaada huko Gaza
  15. UmkhontoweSizwe

    Watu wa Dar mngetamani RC Mtaka ahamie DAR kiangazi au kipindi cha Masika?

    Hivi kati ya Watu wa Dar vs Wanaume wa Dar ni nani zaidi?
  16. UmkhontoweSizwe

    John Heche: Magufuli aliniahidi kunipa nafasi ya Uwaziri kama ningekubali kuhamia CCM

    Mwambieni alete ushahidi ili tumwamini. Vinginevyo anatafuta kiki tu kwa kutumia jina la Magufuli (rip).
Back
Top Bottom