For me atleast nyerere alikuwa patriot tofauti na Mandela 26 yrs prison alafu it went in vein maana south africa hadi Leo bado wanalia na apartheid policy
Usiniambie baada ya haya unataka kurudi kwa mumeo aisee songa mbele kama hakujua thamani yako Jana Leo ataijuaje zaidi atakurudisha kwenye maumivu Yale yale usijaribu piga moyo konde tafuta vibarua vingne zaidi
Wew unamuonaga wapi kila saa utujuze na sie tukamuone, lakini Mimi mwenyew ni mwanamke nikishinda home nikifua nabadili nikilala mchana nikaoga nabadili Dera langu nikipika nikimaliza nabadili sembuse yeye raisi? Acha aenjoy life is too short
No one is perfect, but what I understand is atleast we should all consider humanity, sympathy and empathy to our fellow human, we should think before we act and ask our selves am I doing the ryt thing to my fellow what if it was me would I be satisfied with those actions? Hope the world will be...
Kuepuka hiili jifunze kuisoma dini yako na kuielewa afu mbona kama ni sadaka Kuna sehemu kibao za kupeleka sio lazima huko uzuri wa Mungu wetu analipa kwa Nia ushaona hapa Kuna ulakini sadaka yangu haina uhakika wa kufikia lengo why usiwapelekee wahitaji Moja kwa Moja?? Hahahaha suala la Imani...
Mie mara kadhaa nimekuwa nikiwaambia watu issue ya r Kelly imekaa kimkakati na kama ukiangalia hata maisha ya Michael Jackson mpka kufariki kwako Kuna alot of things that were going on kiasi Cha kufrustrate dipression na kila aina ya hila, hao jamaa wakikuamilia wamekuamulia hyo kesi haina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.