Likeeeee! Kwa nn siri yake asmwambi docta, yeye ndo anaweza kumshauri kama ni opareshen au chochote cha kufanya kiutaalam, kuliko kumwambia huyu ambae ni mbeambea' yeye kakimbilia jf, watu bwana!
wakati anakuambia amechoka kuishi na wewe amini usiamini alikuwa tayari anategemea mtuflani kuishi nae! Ungechunguza ungejua' cku nyingine dem akikuambi hayo makitu mwambie na mi naanza kujipanga ili yeye akibadilika asishangae mipango yako wala asiulize, si ulishamwambia?
Mimi ni mmoja wa waliowauzia magamba korosho tangu mwezi wa nane mwaka jana, malipo ya kwanza wamelipa mwezi wa tatu, wakasema watamalizia mwanzoni wa mwezi wa nne, mpaka leo hakueleweki' bora waendelee kukinukisha tu mpaka kieleweke'
Unayosema ni sawa lakini unajua kenya walipeleka wanajeshi somalia kwa ajili ya kulinda usalama wao na maslai ya kenya? Wasomali walikuwa wanahujumu mpaka ndani ya kenya, tofauti na cc. Uganda inapakana na sisi kwa upande wa kusini mwa uganda, wale waasi wako kaskazini mwa uganda! Kwann nchi...
china inauza bidhaa nyingi tanzania, kwa maneno mengine tz ni muhimu kwa maendeleo ya china na ndio maana rais ameamua kuanzia ziara yake hapa tz, sijui kama kuna nchi nyingine ambayo bidhaa za kichina zimetapakaa kama hapa tz, mpaka wafanyabiashara wadogo wa mitaani unakuta ni wachina...
mbona wale tumbili wa pale jozani zanzibar, wakija wazungu tu wanatoka wengiiii wanawapandia hadi mabegani,akitokea tu jirani yao (ngozi nyeusi) wote wakimbia' labda useme black colour inatisha wanyam, lakini mi nahisi natural tunroho mbaya'
wanakuwa malkia wa nini? Kama ni malkia wa nyuki halafu baadae ndo nyuki wenginne wanamfuata kwenye kichuguu? Kabla kumbikumbi hawajajichimbia chini huyatoa mabawa yao, ina maana malkia wa nyuki hanaga mabawa?
siku moja nilikuwa maaeneo ya taveta unguja, ulipita msafara wa shein, niliogopa sana gari 3 au 4 hivi zilikuwa mbele ya gari la shein, zinakwenda kasi sana kwenye barabara ambayo iko bize (fuoni-darajani) kilichonishangaza zaidi gari moja inapita kushoto nyingine inapita kulia mwa barabara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.