We wachukie tu, but one day you will be their client and by that time you will be Quiet... Unayoyasema ni mapungufu ya mtu na mtu ambayo yapo kila sehemu sio kwa madr tu hata huko kwenu yapo. Sio kila anayefanya kazi hosp ni dr au nesi.
Ahahaaaaahahahaaaaaa we noma! Hyo barabara ni janga.. Kuna mjinga mmoja anapanda kwenye bonet ya gari au anabinjua wiper za magari ukimgomea akufutie kioo tena anatulia livesti lake lichafu.... Foleni ya hapo si salama kabisa
"Sio kila homa ni malaria" Wizara ya afya imethibitisha kuwa kipimo cha mRDT kinaweza kudetect whether +/- kwamba malaria ipo au haipo na blood smear (microscopy) ikatuambia una wadudu wangapi (kama wapo). Ni vyema kuchek mRDT b4 B/S. MRDT inasaidia kupunguza false -/+
Neurocardiology is the study of the neurophysiological, neurological and neuroanatomical aspects of cardiology, including especially the neurological origins of cardiac disorders. The effects of stress on the heart are studied in terms of the heart's interactions with both the peripheral nervous...
Mkuu wangu, mi staki kutaja mtu hapa ila nielewe tu its possible na wapo. Neurologist na cardiologist ni physicians, kwa hawa ni rahisi kupata hizi superspclt zote as hawafanyi operations wanatibu kwa dawa na vipimo. On the other hand kuna neurosurgeon na cardio-thoracic surgeons hizi...
Unaweza ukawa na MD, MMEd (internal medicine) ukasuperspecialize (neurology) pia ukachukua diploma in cardiology ukawa neurologist na cardiologist hapohapo.
Tawheed, kizota sure na kizota best, fikiria kwanza, ngasu ya vome (nyuma imeandikwa roho ya paka), fresh ya shamba, air shengena na air msae (hizi zilichinja sana)bazzu, islam, takrim,tawfiq (nyuma imeandikwa tokyo ingine kyoto) zilikuwa zinapga route ya dar-ars, tanga-ars.
Hawa jamaa na kundi lao katka hali ya kawaida tu wanachinja mbuzi karibu kila j2 kuna bar moja kule nyegez maeneo ya sweya beach inaitwa gamba kwa mwenzao pia,huwa wanakula bata mrefu na warembo wazuri mezani ni chupa kubwa kubwa tu.... Wacheni wagombane, wapatane anyway z part of their life.
Pole sana,
Kwa kawaida hospitali za uma zinakuwa na in-hospital pharmacy (zile za ndani) ambazo zinahudumia wagonjwa wa ndani na nje. Hizi pharmacy za ndani zinategemea asilimia kubwa dawa kutoka msd. Dawa hz zinakuwa bei nafuu kwa ajili ya wagonjwa wa kawaida (yani gradeIII, II, msamaha, n.k.)...
Mi nlimkuta wa kijani kabatini kufungua tu kabati nyoka huyu nikalifunga nikaondoka kabisaa badae nkarudi na mikakati ya kufight... Nadhani aliingia na nguo loh pole.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.