zito acha upumbavu wako.tamaa yako ya urais inakusumbua.wewe ni kibaraka magamba.mzee mtei ni zaidi ya unavyofikiri.kuna mambo ya msingi ya kufikiria,ukiondoa masuala ya udini,lazima tujifikirie sisi watanganyika nafasi iko wapi ktk suala la katiba.
Nenda usiogope kujaribu. Mwaka jana mimi niliondoka na kxenda juba s.sudan kuangalia fursa za kazi huko.kwa kweli watz ni wachache sana.nilikaa juba wiki mbili huko wakenya ndio wanapiga kazi kweli kweli.waganda,wasomali, waethiopia.maisha juba hayana tabu kwa siku zote nilizokuwa huko sijasikia...
Huo utakuwa msiba wa pili kwa ccm.wa kwanza ni wakupoteza mbunge na wa pili utakuwa wakupoteza jimbo. Akipigwa chini asije akashangaa, kama alivyopigwa chini mkurugenzi wa zamani wa AICC ndg Tsere, mwisho wa yote mapresha na kulazwa lazwa,ila tunamshukuru Mungu kwa kumnusuru.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.