Kweli ngoma ni nyingi ndio maana jamaa hapo juu akawa amekesha akiskiliza mangoma tofauti tofauti that's why akatoa appreciation kwa ngoma zote hizo mpaka zikamfanya akakesha mkuu.
Ila sio mbaya ukipata moja ya vibez ambayo ni ngoma yangu binafsi hiyo hapo chini mkuu.
Enjoy the vibez...!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.