mada ilikuwa inaenda vzr yani kaibuka mtu mmoja tu kuvuruga basi mada nzima imesimama yameanza malumbano.minashauri Deception usijibu lolote kutoka kwa hao wanaopinga coz hii mada si kwajili yao,we shughulika na wanaotaka kujifunza kutoka kwako,hao wengine wanyamazie tu hata watume comment gani...
cna tofauti sana na mdau hapo juu ila naomba niongezee point kidogo,unaweza ukauchemsha ukwaju huo pamoja na maji yani vyote vichemke kwa wakati mmoja halafu ukishachuja ikipoa chota glasi moja ya juice hiyo kisha weka asali vijiko viwili,hii haina madhara yoyote kwani asali nayo ni dawa nzuri
tumia asali badala ya sukari popote penye uhitaji wa sukari,pia kunywa sana juice ya matunda fresh bila kuweka maji hata kidogo,mboga za majani na ugali wa dona kwa sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.