Mzee Mwanakijiji, you are not serious my dear, are you?
kama hoja ni wachaga kuwa wengi kwenye idara fulani, ni bora taratibu za ajira za idara hiyo zichunguzwe, huenda zina matobo yanayopelekea watendaji kujiamulia kwa interest zao. Then matobo hayo yazibwe. Laikini kusema waachie ngazi wote...
Mkuu nimekubali, unayafahamu majamboz yao! ama nawe ni mmoja wao?? tuhabarishe mkuu,we need to know the truth.
By the way, what's wrong about being a freemason?
Techno ume-hit target mwana! mie nilishaona kuna mchezo fulani unachezwa ili kuwafumba macho (ya akili) walio wengi. Mie pia najiuliza, kashfa ya EPA na hasara ma mabilioni inayotajwa haijatokea kwenye enzi ya JK, imetokea kabla yake, iweje aliwateua wahusika kuwa kwenye cabinet yake? Ni kweli...
hapa mie sijaona jambo la msingi! ...... aliyeolewa hajaona kama kanyimwa ama kukatazwa haki yake.....hajalazimishwa. iweje haki yake tuione sisi na siyo yeye? What is not right for the rest can be right for someone provided it does not contradict laws of the land
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.