hyo ni tuhuma isiyo kua na mashiko couz aliyekua askofu mkuu wa jimbo lambulu alishajibu akasema ni uongo na kwa wakati huo aliku AskofuTHADEUS RWAICHI xo hoja yako haina strong point
jaman ni wabunge wangapi wa ccm wana phd lakini wanalala bungeni wakisubiri waseme ndioooo? Je ndo elimu yake inapowatuma? Ni bora huyo msema chochote kuliko hao wanaolala bungen
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.