Kwan mana ya katiba ni nn????kila mtu anatakiwa afanye kaz kulingana na majukumu aliopewa na katiba yan to ACT within da scope. Cjaona kibaya chochote katika vipengele ulivyo cite
membe kazungmza tuu sio kwamba kasema alichokisema kifanyike jaman...... mbona alivyo criticise kuhusu mambo ya kurudia uchaguz zanzibar hamkumsema????????????????????
asante kaka.kwanza mambo vp....
nadhan unaelewa kabisa kua sheria ya ndoa ya 1971 inaeleza waz kua u can not contract a mariage if there is still a subsisting mariage.kama ndoa ya mercy bdo iko hai kwa mana mahakama haijatengua ndoa hio au mecy bado mzima. bas hio ndoa ya pili ni void...
hahaha rosemary kimaro am not here to criticise people but i must confess that umezungmza mengi ila i dont see the pivot comrade.if i may ask what is ur stutus kwenye chama..........umezungmzia msmamo wako kuheshmika na watu wote kwa sbb ni haki yako yakikatiba ila nataka ukumbuke katiba...
Tuko busy na escrow na labda tu kwa taarifa ni kwamba kwa matokeo hayo hutapata chuo chochote duniani na ukipata uta disco kwa malimbikizo ya supplimentary
Kong kong naomba nikucritcise....open university inatoa product za sheria za ukwel.....kama hauamin find out else where.kwa huyo anaesoma llb njoo open university for grand results.
Ok kama mhutasar wa kikao unao ni vema.itabid utangaze kwenye gazeti la serekali.kama uhuru na mzalendo.ukitoka hapo unaenda mahakamani kwajili yakupata hati ya usmamiz lakin kama hatojtokeza mtu na pingamiz.kama atajitokeza bas ndo ligi hio yakuchelewesha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.