Search results

  1. J

    Unajua kwanini CHADEMA wanataka Bunge Live?

    Kuuliza full citation ndio kuona nyota kaka duuu
  2. J

    Unajua kwanini CHADEMA wanataka Bunge Live?

    Ibara ya katiba ipi
  3. J

    Magufuli: Kuna mtu tumemkamata anataka kubadili 1.7Billion na kukimbia nchi

    Mnaona 1.7b kama lak mbili nn kuichange airport
  4. J

    Unajua kwanini CHADEMA wanataka Bunge Live?

    Kifungu kipi ambacho kimekupa utata
  5. J

    Unajua kwanini CHADEMA wanataka Bunge Live?

    Hahahah mtoa post alichemka kidogo
  6. J

    Unajua kwanini CHADEMA wanataka Bunge Live?

    Kwan mana ya katiba ni nn????kila mtu anatakiwa afanye kaz kulingana na majukumu aliopewa na katiba yan to ACT within da scope. Cjaona kibaya chochote katika vipengele ulivyo cite
  7. J

    Hussein Bashe: Membe amuache Rais Magufuli afanye kazi

    membe kazungmza tuu sio kwamba kasema alichokisema kifanyike jaman...... mbona alivyo criticise kuhusu mambo ya kurudia uchaguz zanzibar hamkumsema????????????????????
  8. J

    Procedures za kushitaki/kufungua kesi

    be specific.. unataka kufunguwa madai au jinai
  9. J

    Msaada wa kisheria kuhusu ndoa ya Mengi na K-Lynn

    asante kaka.kwanza mambo vp.... nadhan unaelewa kabisa kua sheria ya ndoa ya 1971 inaeleza waz kua u can not contract a mariage if there is still a subsisting mariage.kama ndoa ya mercy bdo iko hai kwa mana mahakama haijatengua ndoa hio au mecy bado mzima. bas hio ndoa ya pili ni void...
  10. J

    Kutoka Nkurumah Hall: Mdahalo juu ya miswada ya sheria za makosa ya mtandaoni na takwimu

    jamani mwenye cyber bill naomba anitumie kwa email yangu kalemajerry@gmail.com.plz
  11. J

    Msimamo wangu ndani ya Chama

    hahaha rosemary kimaro am not here to criticise people but i must confess that umezungmza mengi ila i dont see the pivot comrade.if i may ask what is ur stutus kwenye chama..........umezungmzia msmamo wako kuheshmika na watu wote kwa sbb ni haki yako yakikatiba ila nataka ukumbuke katiba...
  12. J

    Ushauri: Nataka Kusoma LLB

    Ni kwel hata mm namaliza ndan ya miak mutatu.kwahio unaweza
  13. J

    Kwa matokeo haya ya kidato cha nne naweza kuwa mwanasheria?

    Tuko busy na escrow na labda tu kwa taarifa ni kwamba kwa matokeo hayo hutapata chuo chochote duniani na ukipata uta disco kwa malimbikizo ya supplimentary
  14. J

    Ushauri: Nataka Kusoma LLB

    Kirefu chake ni latin ligum barchelous.ni ki latin
  15. J

    Ushauri: Nataka Kusoma LLB

    Nenda out kaka ila u have to dedicate ur life into LLB.mm nasoma pale na namaliza ila elimu ya open inabid kukomaaaa
  16. J

    Msaada kisheria kuhusu mirathi

    Mahakama ya mwanzo ila inategemea na mali zenyewe.
  17. J

    Ushauri: Nataka Kusoma LLB

    Kong kong naomba nikucritcise....open university inatoa product za sheria za ukwel.....kama hauamin find out else where.kwa huyo anaesoma llb njoo open university for grand results.
  18. J

    Msaada kisheria kuhusu mirathi

    Ok kama mhutasar wa kikao unao ni vema.itabid utangaze kwenye gazeti la serekali.kama uhuru na mzalendo.ukitoka hapo unaenda mahakamani kwajili yakupata hati ya usmamiz lakin kama hatojtokeza mtu na pingamiz.kama atajitokeza bas ndo ligi hio yakuchelewesha
Back
Top Bottom