habari wanajamvi wenzangu.
Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya mbezi beach, kunduchi au mwenge. Iwe na chumba cha kulala, sebule na jiko. Kwa yeyote mwenye taarifa here is my mobile no: 0653 84 26 43.
Asanteni.
Jamani ndugu zangu, hawa jamaa ni matapeli, wanatumia majina tofauti tofauti. Kwenye hiyo ofisi yao, wanatumia majina km vilw RAFIKI ELIMU FOUNDATION, NEEMA RECRUITMENT AGENCY, NEEMA HERBALIST. Owanaishi kwenye nyumba ya kupanga ambayo iko changanyikeni, nyumba hiyo haina wanaitumia km ofisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.