Kila nafsi itaonja mauti,haijalishi una fanya Nini au unatumia Nini Huwa ni swala la muda.Mungu Ndo anajua mwanzo na mwisho.Binadamu tusiwe wepesi wa kujaji wengine hii ni Dunia Kila mtu ataiacha.
So sad! Dunia tunapita,nichukue nafasi hii kuipa familia yake pole,ndugu jamaa na marafiki na familia nzima ya clouds media.Pumzika kwa Amani kaka,uliitendea haki kazi yako.
Sijui Afrika Kuna ujuha gani?Babu zetu walikuwa na dini zao ata kabla ya hizi tunazoona sisi Ndo tunamjua mungu zaidi,na waliishi vizuri tu bila ubaguzi.Hizi dini zimeletwa na wageni siyo zetu kwa nini zitutenganishe. Waliofanya dhuluma hiyo Wana matatizo au pengine hawajui mafundisho vizuri...
Sijui Afrika Kuna ujuha gani?Babu zetu walikuwa na dini zao ata kabla ya hizi tunazoona sisi Ndo tunamjua mungu zaidi,na waliishi vizuri tu bila ubaguzi.Hizi dini zimeletwa na wageni siyo zetu kwa nini zitutenganishe. Waliofanya dhuluma hiyo Wana matatizo au pengine hawajui mafundisho vizuri...
So sad,mwenyezi Mungu ampe pumziko la amani,ni njia ya wanadamu wote.Nichukue nafsi hii binafsi kuipa pole familia ya mh Lowasa,ndugu jamaa na marafiki.
U
Uko sahihi kabisa,Kama mtoa mada alivyosema ndivyo inavyokuwa .Kuna siku nikiwa Mtwara Kuna jamaa alikuja kwangu asubuhi analia,akanambia mke wake kamwambia kuama amfate akamjibu amechoka kupigiwa kelele,jamaa akaangaika sana kwa maswali mengi,mwishoni akanambia Ndo mwisho wa ndoa Yao na...
Husithubutu kufanya hivo utakuja juta.Hapo Ni Kama itakuwa unamkimbia mzee wako,angalia na wewe utapata uzao wako hicho Ndo Cha msingi,pambana na timiza wajibu wako kwa mzee mengine ya migogoro waachie wao
Hili Ni tatizo sugu.Wazee wetu wengi wanateseka Sana,Mara zote tumasema watoto Ni wa mama,hivyo Ni Bora kujipanga mapema Kama mtoa mada alivyoshauri huu Ndo uhalisia wa alina baba wengi
Mimi so mwanasheria Ila naisoma walau najua hakuna aliye na haki ya kutoa uhai wa mwenzake kwa namna banana yoyote,Kama Wana makosa ya kujibu watakamatwa na badae mahakama Ndo yenye haki ya kutoa haki kwa mjibu wa taratibu.Vinginevyo Ni kinyume na haki ya kuishi ya kila binadamu.Vinginevyo...
So sad. Maisha ni fumbo kubwa Sana cha msingi ni kuombeana tu.Natoa pole kwa familia yake, ndugu jamaa na familia nzima ya JamiiForums. Ni njia ya kila mwanadamu.RIP
Wengi hawapo Makini wanapowasajili watoto kwenye mfumo wa tamisemi,hii pia ilitokea kwa mwanangu walibadili herufi wakaweka A badala ya E wakati mfumo wa shule jina liko sawa.Nilofatilia NECTA wakabadili,fatilia huko.Ata kwao ukifatilia utapata msaada
Sijui dunia inaenda wapi? Hao Sheria ifate mkondo wake mapema maana hakuna aliye na haki ya kumunyang'anya mwenzake haki ya kuishi.Kwa nini wanatembea na siraha Hadi bar? Naisi binadamu tuna shida Sana kwa sasa Mungu tu aingilie Kati ili ulimwengu uwe sehemu salama pa kuishi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.