Tumejaliwa haki sisi Tanzania
Ngao yetu umoja tunajivunia
Uhuru na umoja tunajivunia
Mawazo ya mwalimu yameshatimia
Kudumisha umoja ndio yetu nia
Ni wajibu kumshuru baba Nyerere
Kumsifu kwa furaha wingi wa hamu
Mwalimu baba yetu tunamfahamu,Nyerere baba yetu tunamshukuru
Mwalimu ndugu yetu...
Sawa kaka lakini yule aliyekushauri usilaze watoto na wageni amekwambia jambo ambalo ni la muhimu sana dunia imekaa vibaya sana mkuu kwanza mtu mchafu hivyo kwa nini unaacha alale na wanao?
Mkuu miaka 15 kwa binti kama huyo kuolewa ni kosa kisheria,atapata shida bure mbele ya safari,kama una uwezo wa kumuondoa hapo fanya hivyo haraka sana,mtafutie shule aendelee na masomo ndio ukombozi pekee wa mwanammke,usiogope jipe moyo utashinda
Dah!Mkuu umenikumbusha mbali sanaaaa,wkt nasoma primary pale uhuru siku moja nikasukumwa kwenye daladala nikaanguka kumbe Mkama Sharp alikuwa hapo,aisee abiria wote walishushwa gari nzima tukapakia wanafunzi.Dah siwezi msahau huyu bwana
Tatizo lako ni ndg sana,inategemea uliombewa wapi na nani?sio kila mtu ana uwezo wa kuomba,wewe kama ni mkristo itumie damu ya Yesu itakuondolea yote hayo,nimeshuhudia watu walikuwa na matatizo makubwa kuliko yako sasa imebaki historia nitafute kwa 0762768053 (tuma text)nitakuelekeza...
Mkuu usikate tamaa,shetani asipoivuruga ndoa yako kwa kuwakosesha maelewano,atawavuruga kwa kuwakosesha watoto,kuna kila dalili kuwa uwezekano wa ninyi kupata watoto upo,angekuwa hajawahi kushika mimba kabisa hiyo ndio ingekuwa issue,kazana na maombi sana sana msichoke kuomba kuna vifungo...
Kwa sisi wenye watoto wadogo wanaosoma habari kama hii inaweza kukunyima usingizi kabisa,ni habari mbaya sana hii,Serikali ifuatilie hili jambo kwa kina
Nauza kiwanja kipo mabwepande,kipo karibu na dispensary ya Mabwepande na karibu na makazi ya watu,kina ukubwa wa hatua 20 x 20
Mawasiliano 0762 768053
Karibuni
Haswaa mkuu,sasa hivi tunasikilizishwa taarab,vijembe vya watangazaji bila kupenda,vipindi vya kuelimisha hasa watoto kama kile cha mkoa kwa mkoa kilikuwa kizuri sana mtoto anakuwa anajua nchi yake ina makabila gani na utamaduni wao ni upi,kupitia redio tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.