Mapungufu ya waandishi wengi wa habari wa TZ wanapofanya mahojiano umeyaona alipohojiwa TL tu? Pole sana.
Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
Usilinganishe Geita kwenye ukanda wa dhahabu inayowezesha mzinguko wa fedha na Kagera ambayo hakuna kiwanda wala mgodi wa kuwezesha hilo.
Kagera imekumbwa na vikwazo kadhaa vya kiuchumi vikiwemo vya bahati mbaya na vingine vya maksudi kutoka kwa watawala. Kwa kutaja vichache rejea vita vya...
Hutokaa umpate mgombea au rais mwenzako, aishi kama wewe. Vinginevyo utaishia kuletewa kibaba cha chumvi, sh 500 karibia na uchaguzi baada ya hapo unaendelea na shida zako.
Tunahitaji Rais atakayeheshimu wananchi kwa kusimamia na kuilinda katiba, Kusimamia sheria bila woga wa mtu yeyote na...
Sawa Mkuu ili mradi usiwe mmojawapo ya wale wanaopiga kura kwa kulipa fadhila za kupewa Tisheti, Kofia, vitenge, bahasha na wali.
Tukiri kuwa tuna tatizo bado, wengi wetu/wenu(bahati mbaya hamuelewi) mnahitaji kusemewa na kuelimishwa juu ya haki zenu za msingi.
Sheria si bado haijasainiwa, ofu ya nini wakuu? Au sheria ikisainiwa mwezi May inaweza kutumika kuhukumu makosa yaliyofanyika mwezi wa April? Nielimishe wakuu.
MNZAJILA GAIRO Tz:
Ni kitu gani kimekufanya uamini kwamba IFRS ni 'Inshomile"? Unakurupuka na kuhukumu watu wote jumla jumla kama alivyofanya IFRS? What if IFRS ni shabiki wa Sita anayetokea sehemu nyingine? Je tofauti ya IFRS ni ipi kwa ukurupukaji huu? Waza kidogo kabla ya kuchangia.
Mkuu CHEKEA. Sikubaliani na comment (#13) ya IFRS, ni mawazo mfirisi. Lakini pia sikubaliani na wote WALIOKURUPUKA na kuhamini kwamba IFRS anatokea Bukoba. Hebu msome WINDOW 7 (#14) anatoa mwanga kidogo, kwamba hata huyo aliyejitambulsha kama Paul Andrew Maganga yawezekana siye. Panueni Ufahamu...
Pasco: [PCCB ni chombo cha dola sambamba na jeshi la polisi na vyombo vya ulinzi na usalama, hivyo ripoti zake hazijadiliwi bungeni!. Ripoti inayojadilika bungeni ni ripoti ya CAG!. Ripoti ya PCCB ni 'closed document', yaani ni confidential!./QUOTE]
Ripoti ya CAG imejadiliwa bungeni, Je CAG si...
Wewe tu ndo haujui! Inaonekana siyo mdau wa elimu ila umetaka kuchangia tu. Fuatilia
Ngoja nikusaidie
Za zamani | Mpya
F 0-20 |F 0- 34
D 21-40 |D 35-49
C 41-60 |C 50-64
B 61-80 |B 65-79
A 81-100 |A 80-100
Mkuu GreatMind
Kwamba ufauru wa Kiwango cha D umekuwa ni alama 21-40, na wafahuru wengi...
They have a common problem of which they share.
Shule hata zile zinazojulikana kuwa na ufahuru wa hali ya juu ( Feza, St Mary, Mzumbe nk) zimeanzishwa nyingi na kuongezeka lakini walimu wenye sifa waliokuwa wanasababisha ufahuru katika shule hizo, idadi yaho imeendelea kuwa ile ile...
Mkuu NASDAS.
Umeandika vizuri. Lakini amini au acha. Kati ya haya matatu mojawapo ni sahihi. Hama Serikali imepotea njia, Wewe umepotea na hujui kinachoendelea kwenye shule nyingi za Serikali au wewe ni sehemu ya wanaokula matapishi uliyosema(mmojawapo ndani ya MoE). Yote haya yanapelekea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.