Nakuunga mkono, CCM imeshatuchosha kabisa. Angalia muda unaopotezwa kwa kurudia rudia kuhesabu kura kwa sababu wameshindwa. Kwa kuendelea kuongozwa na CCM itachukua muda mrefu sana Tanzania kuacha kuomba omba misaada kutoka Ulaya na Marekani.
Mhh sasa hayo masanduku yaliyokwama njiani yameshaletwa??? Hizi ni dalili za UFISADI. Leo hizo kura zinaweza kurudiwa mpaka jioni kwa sababu CCM wameshindwa.
Kazi ipo.
Hapa kuna namna hii sio bure na safari hii hatutakubali yaliyotokea Busanda yajirudie. Hapa tunasubiri matokeo yasomwe na sio kuhesabu kura. Hilo swala la masanduku kukwama mahahi linatoka wapi???
Safari hii hatuta kubali UFISADI wa aina yoyote ile. Mpaka sasa hivi zimebaki dakika kama 17 tu...
tumsam, wewe umeuliza humu JF itakuwaje, na mimi nimekujibu kama ulivyouliza. kama ungeuliza kuwa hapa Tanzania kama CCM wakishinda CHADEMA itafanyaje? Nadhani ungepatiwa jibu mwafaka kabisa.
Ni sahihi kabisa, Nchi inapotegemea misaada haiwezi kupata maendeleo hata kidogo. Ili uweze ku-move/develop unahitaji kuwa na strategic plans ambazo unaweza kuzitekeleza. sasa kama unaishia kuomba omba tu, hizo plan utazitoa wapi???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.