Jamani mi nataka kujua kama kuna mtu Ana contacts za kupata kuku wa kienyeji wa jumla.. Na mimi niko interested kuanza kuuza kuku wa kienyeji kwa rejareja
Habari za Leo wadau..
Nafikiria kuanza kuuza kuku wa kienyeji, je kuna mtu anafahamu wapi naweza kununua kuku wa kienyeji kwa jumla kwa bei ya chini ili niweze kuja kuuza rejareja dar?
Hi guys!
Wanajamii ninauza hizi pair mbili za viatu laki na nusu kila pair maelewano kidogo yapo. Viatu viko dar kwa any serious buyer tafadhani ni PM asap
Viatu vya brown ni size 9U.S na black ni 9.5 U.S
Asanteni
Jamani kuna yeyote aliyefuatilua hivi viwanja? Mama yangu ameenda leo jumatano April 3rd na kuambiwa kuwa fomu zote zimeshaisha. Sijuini kweli au ndio utapeli tu... Mwenye info zaidi naombeni maelezo plz
Jamani samahanini wana jamii siku jua kama hii site haifunguki kila sehemu. Ila kuna site nyingine inaitwa coursera.org very good site. Haina excel but Ina different classes from American university na ni bure. Some classes wanatoa mpaka certificate
Asanteni
Kristian habari mzee! Kuanzia tarehe 25 April natarajia mzigo wangu ufike dar from marekani. Nina mabox mawili moja 20x20x20 na jingine ni 24x24x24 yamejaa nguo za watoto, wanawake na kidogo za kiume. Zote ni mpya kabisaaaa. Nataka mtu wa kuzinunua jumla kama unahitaji nistue tafadhani. Na kama...
@ sun wu! Ni kweli kaka Sijui kwa nini hawa jamaa wana haji service fee each month! I think watawavutia sanaaa wateja wakiwa na free checking and saving account. Na ni kweli their charges ni kubwa kuliko interest. stanbic ni aje we zangu! Nafikiri kuhamia uko...... Crdb wamenishinda
Habari zenu wanajamii...
Naona ni share hii site na nyie, kwa yeyote ambae angependa kujifunza MS Excel, Adobe, Visio etc ajaribu kuingia kwenye hii site: learningexpresslibrary.com
I hope ntakuwa nimemsaidia angalau mtu mmoja au wawili.
Asanteni
What r u looking to buy? kama ukinunua bidhaa from websites za nje sijui mambo ya shipping yatakuwaje. But kwa experience yangu kadi ya Crdb sio reliable at all kuna some sites crdb kadi haikubaliki kabisa.
Anyway, u only need a good reliable card, iwe inakubalika sehemu ningine preferable iwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.