Search results

  1. Duniaze

    Msaada tovuti ya kupata past paper za necta mitihani ya ualimu (GATCE)

    hayo kupata ni shidaa mpaka hapo hapo chuoni ulipo ndipo utayapata kwa waliokutangulia ok.???
  2. Duniaze

    Rais wa wanafunzi chuo cha St Joseph kufukuzwa chuo kwa kusema ukweli wizarani

    sitakuja kukisahau hiki chuo maishani mwangu. .2011 wanafunzi 350 tulifanyiwa mambo ya ajabu sana kwa tawi la songea, kuna hidden systems ambazo huwezi jua katika vyuo vyote vya st Joseph. .so rais Wa chuo be care nakuombea kwa allah upate strong supports kutoka kwa wanafunzi wenzako..nilikua...
  3. Duniaze

    Shule ya sifa: Shule ya Sekondari Milambo, Tabora

    Oyooooo unaikumbuka ile siku ngema ilikua mbichi tukaimwagaa na vuruguu hatariiii
  4. Duniaze

    Mwalimu wa fizikia na hesabu, natafuta kazi

    By professional or?
  5. Duniaze

    Shule ya sifa: Shule ya Sekondari Milambo, Tabora

    Daah ss tulikua hapo 2009/2011 pgm sokoine room no4
  6. Duniaze

    Wanafunzi vyuo vya ualimu kusitisha masomo wiki mbili kusahihisha mitihani ya STD 4

    unauhakika kaka,kuhusu huo utaratibuu.....toa data.
  7. Duniaze

    NATAKA KUJUA SIFA ZA KUJIUNGA NAUALIMU

    div1-3 waweza kuwa mwl wa primary school ok!
  8. Duniaze

    Dplm in sec Edctn vs form 5

    mm labda cjielew hiv ukimaliza form4 unaweza ukawa mwl.wa sec kwel?au huyu dogo anachukulia uwalimu wa sec ni kwa wanafunzi hewaaaa be care nitakutumbua kwa madam..nda........
  9. Duniaze

    Tuliopelekwa Songea Teachers College tukutane hapa

    NITAKUJA KUKUONA BAADA YA MWEZI MMOJA JINSI ULIVYOPAUKA NA VUMBI LA HAPO..
  10. Duniaze

    Tuliopelekwa Songea Teachers College tukutane hapa

    KAPIGE MZIGO KAKA,PALE NI NUSU SEMINARY UTAKUTANA NA RATIBA TAIT......NA PRINCIPLE MVURA HANA MASIALA.
  11. Duniaze

    Wale tuliosoma advanced physics

    weeeeeeeeeee ELECTROMAGNETISM NI TATAIZO LA MOYO WANGU.
  12. Duniaze

    Kwa hizi marks anaweza somea diploma ya ualimu wa sekondari?

    wew ualimu cio kirahic kiivyo kwa kutokea form four then ualimu wa sekondari..komaaa advace kwanza..
  13. Duniaze

    Somo la Fizikia laelekea kukosa walimu

    uhaba utapungua baada ya higher diploma wakimaliza masomo yo mwakani!!!
  14. Duniaze

    Ajira mpya za walimu kutangazwa rasmi tarehe 22/4/2016

    kumekucha sasa watu kutiana presha kweny mitandaoooo..ebu tulien bhanaaa.
Back
Top Bottom