Habari zenu wana jamvi. Nipo kidato cha sita na nnategemea kufanya mtihani wangu wa mwisho tar 4 ya mwezi wa tano.
Baada ya kubana matumizi shuleni nimeagiza kutengenezewa incubator ya kutotoleshea ambayo itakua tayari mwanzoni mwa mwezi wa tano. Malengo yangu ni kutotolesha mayai alafu kisha...
Mama: Mwanangu hebu mpigie
simu baba yako mwambie
chakula tayari
Mtoto: Sawa mama
Mtoto: Mama simpati
Mama: Bac subir kama baada ya
dakika tano mpigie tena
inawezekana ni mambo ya
network hayo.
(baada ya 5 mins)
Mtoto: Mama mimi baba simpati
simu yenyewe anapokea
mwanamke.
Mama: Kha! Sawa...
nashukuru bro kwa info. Kuna watu huku mtaan kwetu wananitisha, wanasema et kuna barid hd barafu znadondoka na wanafunz wanashnda wamevaa makot, kofia na gloves. Et hii ina ukwel wowote?
Nimejua meng kupitia thread hii hasa kwa comb yangu ya pcb but nahtaj kufaham kwa kariakoo duka la vtab la uhakika kupata iv vtab kwa bei nafuu kdogo lipo maeneo gani?
Alaf review ya phy,chem na bio znauzwaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.