werema amepaniki angejibu hoja kwa hoja na siyo kukumfananisha mwenzio na tumbili werema anatofauti gani na hooligans wa mpira kuwafananisha waafrika na apes apite kuleee kwani kafulila hana family?????
mi nionavyo TANZANIA kutengwa kwenye hiyo what so called SINGLE ENTRY VISA hatuna kitu cha kuloose kama wanavyofikiria kwani sisi bado tunaoongoza kenya wameharibu NATIONAL PARKS zao ukiienda MAASAI MARA ni kama uko kwenye mji mdodo fulani there is that taste of CLASSIC SAFARI IN KENYA wageni...
Mimi nafikiri suala la tanzania kujulikana kimataifa ni suala la kisera zaidi kwanini?kama kweli tungekuwa na nia nzuri na nchi yetu serikali ingefanya juhudi za makusudi ili tanzania ifahamike kimataaifa zaidi na hili tatizo limetokea baada ya utawala wa nyerere kuondoka though kipindi hicho...
Ujio wa Rais wa China hapa Tanzania kwangu mimi sioni kama una faida yeyote juu ya hii nchi na sijui kama kama tunanufaika nao zaidi ya kuumia nao kwani hawa jamaa siku hizi wanatafuta soko la ajira la wananchi wao.
Wachina wamejaa kwetu wakaba kila eneo wao sasa ndo wamachinga kwetu kutuletea...
umenikumbusha last week NOMAD lamai walikuwa wanahao jamaa kumi na sita wamewarusha uwanja wa kogatende.NA WALIKUWA WAAMERIKA.HABARI NDIYO HIYO KAKA........
naiomba serikali iweke takwimu juu ya idadi ya tembo tunaopoteza kwa njia ya ujangili,kwani wanyama hao idadi inapungua kila kukicha na hatuoni serikali yetu ikichukua hatua yeyote kudhibiti ujangili,kwani hatua wanazochukua ni maneno.au tunasubiri idadi ipungue kabisa ndo tuandae NGOs...
hiyo ishu uliosema hapo juu ni ya kawaida sana hasa ktk hii industry ya tourism kwa sababu lesbian au gays wanakuja sana ila kama ulivyosema hawa wanaomiliki makampuni huwa wanawalinda sana kwa kuwapa briefing mbovu kama walivyoanisha hapo juu kuwa watanzania ni primitive bado tupo kwenye stone...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.