Search results

  1. K

    Economic ideas

    Congrat, Many will be cured by...
  2. K

    Waliochaguliwa kujiunga na vyuo vya ualimu ngazi ya CHETI (Grade A) na STASHAHADA 2013/2014

    Jaman naomba kama kuna mwenye orodha ya waliochaguliwa kujiung na vyuo vya ualimu ngazi ya CHETI (Grade A) na STASHAHADA atuowekee hapa, Ombi itoe kwenye PDF ili tuweze kuifungua,
  3. K

    Watumishi waliokidhi vigezo vya uhamisho

    Kama kuna mwenye taarifa kuhusiana na uhamisho huo atusaidie ku-attach hapa, Ombi itoe kwenye PDF.
  4. K

    Watumishi waliokidhi vigezo vya uhamisho

    Tafadhali kama kuna mwenye taarifa hiyo naomba atusaidie ku-attach hapa, ombi itoe kwenye PDF.
  5. K

    CHAMA CHA WALIMU (CWT) badi ina uhai?

    Yawezekana wewe sio mwalimu, ndo ninyi mlioandaliwa kubomoa chama.
  6. K

    Jinsi ya kuomba kujiunga na vyuo vikuu kupitia CAS mwaka wa masomo 2013/2014

    Naomba mnisaidie kutambua Category niliyopo kwenye CAS, Nina qualification zifuatazo; >form IV-point 25 (NECTA-2007), >Grade IIIA teacher cert. (primary teacher) GPA 2.9 (NECTA-2010) na >Cert. in foundation course (offered by Open University of TZ).
  7. K

    Mbeya: Walimu wakamatwa na TAKUKURU kwa kula rushwa za Tsh 500!

    Rekebisha kauli yako, maana hao hao unaowaita failure ndo waliokuwezesha hadi ukafika ulipo!!!
  8. K

    Unaona nini hapa??

    naona sura ya 'kibaka'
  9. K

    Jamani hawa wanakera

    Mara nyingi wanakuwa wengi sehemu moja, hivyo kila mmoja anajitaid kuongeza sauti ili asikike. Ila kiujumla inakera...!!
  10. K

    Kitu hiki tafsiri yake ni nini??

    Pole sana kwa hayo yalokukuta, nakushauri uachane naye hakufai kabisaaaa,
  11. K

    Udaili wa elimu ya juu mwaka 2013/2014

    Asante, nimepafanyia kazi na swali limeeleweka.
  12. K

    Udaili wa elimu ya juu mwaka 2013/2014

    Asante, nimerekebisha sasa na swali limeeleweka
  13. K

    Naweza kusoma nini na chuo kipi kwa division four point 33

    Ushauri umepewa, chagua utakaoona unakufaa ufanyie kazi
  14. K

    nimeitwa kazini afisa tarafa.

    Hongera, kafanye kazi sasa!
  15. K

    Udaili wa elimu ya juu mwaka 2013/2014

    Inasemekana kuwa mwaka huu 2013/2014 hakuna udahili kupitia vyuoni, wakati baadhi ya vyuo vimeshaweka aplication form, je inakuwaje hapo? naomba msaada wenu tafadhali.
Back
Top Bottom