Kwa vile watanzania sio watu wa kufuatilia mambo ngoja wapigwe pesa na hao wasanii wa tiba mbadala...Loliondo aliibia watu, alisababisha vifo, na hadi leo hajachukuliwa hatua, tiba mbadala wameingia wanafanya zaidi ya udakitar na hawajasomea na bado wadanganyika tunawashangilia, Ndodi, Mwaka...
Naona post yake wamefunga comments, jaribu kuiunganisha na post yake ya Butiama tumpe stress zaidi... adrenaline na strres hormone ziendelee kuharibu cycle yake
Kirusi daima hakiwezi kusurvive on its own, kinatafuta pa kujishikiza
Kitoswe mbona wakati wa BMK hakikuwaona ukawa? Ngoja aone ilivyokazi kusimamisha na kunadi chama
Kuna mikakati mipya au bado mnatafutana yupi kabaki, CHADEMA ni chama kikuu cha upinzani, toeni dira na mikakati juu maswala muhimu ya kitaifa, katiba mpya, kujiandikisha kwa wapiga kura na uchaguzi mkuu ujao na mengine mengi.....just thiking
Zitto keshaondoka CHADEMA, hashiriki kazi yoyote ya kujenga CHADEMA, CHADEMA hawako bungeni kwa kundi la UKAWA, na yeye yuko nje ya bunge peke yake maana yeye hayuko UKAWA, Alipoenda Kigoma hakuenda na Bendera ya CHADEMA,
kinachombakiza CHADEMA ni kubomoa tu.
Kuna kijamaa cha ccm kinaongea pimba sana hapa kuhusu muungano now itv..huyu jamaa ni mfanyakazi wa nida na aligombea kura za maoni na.dr kafumu igunga akashindwa..anaongea pimba tu
Huyo dogo kaniboa sana,,, afu anajitize ni mwanafunzi wa Prof. Baregu, mi nadhani Prof amemsamehe kumkataa...
hospitali ya Wilaya Misungwi haina nyumba kwa ajili ya wafanyakazi, madakitari walazimika kujilipia hela ya guest, huku Mganga mkuu akibaki hana majibu ya lini na kivipi tatizo hilo litashughurikiwa na ukizingatia waraka wa serikali wa 2004 na 2009 ukiwataja Madakitari wanastahili kupewa nyumba...
CHADEMA CHADEMA CHADEMA!!! Nakupenda sana,, najua unapitia mengi na watanzania bado wana imani kubwa,, lazima upitie mengi ili uwe imara! Wenye pesa watatumia njia tofauti kukudhofisha, kuna watanzania wanaumia sana hasa hospital kwa kukosa huduma bora huku kila kukicha viongozi wakiendelea...
Viva CHADEMA!!! That why i like u guys, I tusiwl always be on your side.... Zitto nae asepe zake,,,,, yeye si anadai ni zaidi ya CHADEMA, hilo ni tusi... kwa chama chenye wapenzi inchi nzima
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.