Bwana Malila,
Nipo Dsm na hii changamoto ya soko la kuuzia mayai imetokana pia na kutingwa kwangu na majukumu mengine ya kijamii ndo maana nikalazimika kutumia hili jukwaa kujitangaza, ila pia kwa ngazi ya familia kuwa kama wateja pekee imekuwa na ukinzani zaidi kwenye kubalance economic theory...
Habari wadau?
Miye ni mjasiriamali mfugaji wa kuku wa kienyeji + chotara, kanga pamoja na bata mzinga, shughuli yenye takribani zaidi ya mwaka sasa, changamoto nayokabiliana nayo saizi ni upatikanaji wa soko la mayai ya kuku wa kienyeji kubaki shambani zaidi ya trays kumi kwa wiki bila kuingia...
Habari wandugu?
Najua conversation hii imewavutia sana na mngependa kuona ikiendelea ila nadhani imefika mwisho.
Nilidhani mleta hoja yupo tayari kubeba challenging ideas ila badala yake anatengeneza hoja zisizo mashiko na zenye mwelekeo wa matusi & dharau.
Nilichogundua kupitia andishi lake la...
Mawazo ujenzi,
Habari yako? Mbona umejibu huku povu linakutoka mdomoni?
Ntajitahidi kukujibu kwa hoja ili mwishone tuweze kuelewana.
Director wa sales wa coca cola kwanza ana asili ya uhindi na ni mfupi kwa kimo. Hii kazi ilitangazwa kwenye gazeti la Guardian la 11/07 na mwisho wa maombi...
On Tuesday 2/9, nikapigiwa simu na coca cola kwa majibu ya interview with their number of 0784106740, nasubiri call ya kwenda kumwaga wino now...!
Taarifa yako inaleta mkanganyiko kiasi. Hiyo test ya driving sijaona mantiki yake
Mkuu,
Mbona sijakuelewa kiusahihi?
Hiyo post nami ni candidate ila nimefanya only two oral interviews moja ilikuwa July 17 with Director wa sales & HR Director, after screening tukabaki wa3 na last interview ilifanyika Aug 12..! Mbona kama habari yako imeenda mbali sana?
Wakati mwingine wa kushuhudia nguvu za vyama kisera umewadia, another moment for CDM kujiongezea namba za madiwani katika halmashauri ya mji wa Bukoba.
Am kweli wapambanapo mafahari wawili ziumiazo ni nyasi.
Yule dogo aliyelosti na 7 yake anaitwa Andrew Ibrahim aka Wenzi, aliishia kufundisha Tuition magomeni na kugonga mademu tu.
Wenzake saizi twagonga bata tu duniani.
ukiona mtu mzima anatumia lughaya utajiju basi jua huyo mtu si riziki, pole kwa kukubali kutumika na kuwa punga. Ushauri wangu kwako ningekuomba kwanza urejee shule maana hata kiswahili bado hujafuzu,
Natumaini unastahili kuwa mshauri wa Rais, nyeusi waiita nyeusi na hiyo ndo lugha sahihi, hakika weye ni mkweli na mzalendo kwa Taifa lako.
Rais wako atakusoma tu au idara yake ya habari ya akina Nshomile Salva itaisoma article yako ila usitarajie matekelezo coz inasemekana kuwa Rais wako...
Lukosi, weye ni matokeo ya wote waingiao katika siasa kwa malengo binafsi.
Tuhuma zako juu ya cdm ni baada ya kushindwa kwako kutimiza malengo yako binafsi yaliyotawaliwa na tamaa, Ulipohamia ndo kukufahako maana huku kwafahamika kama chukua chako mapema, ungana vyema na wapiga porojo na...
Kaona maswali yamemkwaza na kumzidia na wale vijana wake wa mitandaoni pale Lumumba wamelala hawamtetei Bosi wao, kwa nini asile kona Nape kilaza?
Akili nyepesi always uja na mambo mepesi yasiyo na mashiko, ni kweli angetuwekea ushahidi wa Mzee Marando kumjibu Jeetu Patel angalau leo Nape...
Ulitabiri vyema na bado unaendelea kutuaminisha kuwa kam mauaji haya ya polisi ni sawa na ngoma, basi ndo kwanza ngoma inawambwa moto bado hata haijapigwa kuchezwa!
Hadi imalizike kuchezwa sijui akina nani watakuwa wamebaki hai iwapo hatutatafuta means za kuzuia au kuepusha ujinga huu wa Jeshi...
Hiki chuo kweli hakitizami alama "principals" pekee kama criteria pekee ya kukupa admission, nimestaajabu leo hii kuona matokeo ya o level & a level ya mmoja wa wanafunzi wa chuo hiki cha MUM nikabaki najiuliza alipataje admission ya chuo kikuu? Kwa Div 4, O level & A level eti alikuwa admitted...
Kupe, kadudu kasumbufu kenye tabia ya kushiba pasipozalisha!
Hakika ulichagua jina sahihi kwa matendo yako ila kuna uwezekano hata hili jina wamekuchagulia waliokupangia kufanya kazi hii na kwa kuwa hujui wajibu wa jeshi la polisi sitopoteza muda wangu kukujibu zaidi ya kukuelimisha kuwa Jeshi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.