Du! eebwanaee
Ahsante sana mkuu kwa elimu hii ya tairi (tyre) maana hata sikujua kamwe kama hizo namba zina maana hiyo.Nikitoka tu kwa ofisi nitakagua ya kwngu nione kama yataniwezesha hata kufika nyumbani maana ni hatari tupu.
Nitaelimisha na wengine labda itasaidia kupunguza ajali zisizo za...
Its unbelievable, but as one of us said.Let no one point finger to another but Judge yourself and see if you are a perfect human being. For sure everyone will die its just a matter of time and not the cause of death
Mh inatisha maana mimi nawafaham baadhi ya watu ambao wamejiunga na hiyo kampuni na wanasema wanavuna pesa ila mimi niliogopa kujiunga maana security yake siijui
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.