ofisi niko peke yangu, wote wanatoka nje kikazi, wakirudi, muda wa lunch umekwisha, hatuna msururu wa wateja, tukipata wengi ni wa3 kwa wiki, wanaoleta vitu tu, hatuuzi wala kutoa huduma ya papo kwa hapo (kama duka, stationery)
Habari wanajamii
Naomba msaada wenu
Mimi ni mfanyakazi wa sehemu fulani, bado sijazijua vizuri sheria za kazi, we have 1 hour lunch time (kwenye contract)
Niliwahi kuambiwa kwa mdomo na my boss kuwa hilo lisaa 1 naweza toka nje,
1. je nikitoka na kufunga ofisi (hakuna wa kumuacha)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.