Sasa wakuu hapa serikali inahusikaje kwa watu hawa hapa yupo uli,kibanda ,padri zanzibar na home shoping centre mtanzania wanahaki ya kupigwa adhabu hata ya kufutwa kabisa gazeti lao.
Mkuu usipotoshe kilichoandikwa kwenye gazeti,gazeti limeitaja serikali halafu likamtaja kibanda,uli,mapadri waliomwagiwa tindikali,hakuna sehemu tumewahi kusoma au kuona kama serikali ilihusika na swala la kibanda au tindikali kwa padri wewe unaleta za kuleta acha umbea mkuu.
Slaa chama amekiharibu sana alipoanza kuiba kanisani halafu ndiyo kaja kwenye sasa kamwe chama hicho lazima kiwe cha kitapeli tu laana ya mungu hawataikwepa.
Lazima mambo mengine tukili kuwa wandishi wanaandika habari za kichochezi kama hii hawa mtanzania wakiachwa watasababisha mvurugano ktk taifa siyo wa kuwachekea kwani wanamda sasa wanaandika habari nyingi za uchochezi.
Hii habari ya kichonganishi kwa nini useme serikali inanuka damu kwani serikali ndiyo imemwagia tindikali padri,kwani serikali ndiyo ilimpiga kibanda habari hii ni yakichonganishi live.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.