Na wewe ni mpelelezi pia? Kwani hivyo vyombo ulivyovitaja havijui kazi yao mpaka uviarifu kupitia hapa? Hii JF siku hizi vipi tena? I think it's time now wabongo kuangalia other critical/strategic societal issues. Hatuna maji, hatuna umeme, hatuna elimu, hakuna ajira , hatuna barabara, e.t.c
Hata kama si viti, kuna ukweli kiasi kikubwa tu kwamba baadhi ya taasisi za dini/makanisa yanashobokea vigogo. Haya mambo ya imani za kidini ndio maana yanaangaliwa critically huko China. Hizi imani za kidini ukiziendekeza sana zitakuchanganya tu.
Huu upole wa watanzania, umetoka wapi? Una maana kweli kwa maendeleo ya nchi? Utatutoa kimaendeleo?
Ukiwa mwanasiasa unaweza kuwaahidi uongo, ukawadharau na hata kuwanyanyasa na watakuangalia tu na hata kuzidi kukuchagua/kukupigia kura;
Rais anayumbisha na kuharibu uchumi wa nchi kwa utawala...
Pengine TANESCO wamewahi kuwa na mpango kabambe kama huo. Hebu watwambie kama wamehi kuwa nayo ili tujue ni kwa kiasi gani siasa zetu chafu na mipango mibovu imekwamisha juhudi za wataalamu! Tatizo kubwa ni uongozi usio na uwezo, nia, dira wala uzalendo!
Wakuu,
Nimesaidiwa mara nyingi hapa. Shukrani za dhati kwa JF team. Asanteni sana wote pia. Ninaomba kusaidiwa zaidi.
Ninatafuta wataalamu /professionals wa interior & exterior design na landscaping, pools and gardening. They must be reliable and exprienced professionals. Ningependa zaidi...
Anayezifahamu, ushauri please. Magonjwa sugu yake kama yapo na matatizo mengine. Spare parts sijali. Used saloon 2001 -2003. I intend to import from Japan. Pia MAKADILIO YA TOTAL COSTS PLEASE PLEASE PLEASE.
Asanteni sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.