Nisaidieni jamani.
Ndugu yangu anakovu kwenye ubongo,
hii imemfanya apate stroke upande wote wa kulia wa mwili wake,
Je nini tiba ya ugonjwa huu,ana miaka 6 tangu apatwe na tatizo hili.
Naomba msaada naomba kufahamu.
Ndugu yangu ana KOVU KWENYE UBONGO,imesababisha kupata stroke upande wa kulia,tiba yake ni nini,hasa kutibu hili kovu kwenye ubongo na stroke,ana miaka 6 sasa tangu augue.
Asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.