Kwa kuangalia Serikali yetu...oops yake...oops yao, ya kukurupuka na kutokuwa na mipango, kutokuwa na wanaoweza kuweka mipango bila ubinafsi na roho mbaya. Wamejikuta wanahitaji ambulance, kuangalia zinazopelekwa hospitali za manispaa na jeshini kiutapeli na cmc na toyota wakaona sio ambulance...
Vile vile waweza pakua programu ya "freecorder" ambayo itazinasa wakati ukizitizama. Zisipoonekana pakua avs video converter uzibadilishe kwa format itakayofaa kwako
I think the heading is misleading....utapeli ulio mpya ni kwa waliotumia akili kidogo kuingilia utapeli uliozoeleka wa mawaziri ...kuamuru wapewe kiasi fulani cha fedha...ingebidi kiwe utapeli wa mawaziri waingiliwa, hao madereva waliozoa kutumwa na kuona fedha zinachotwa tu ku kutumwa bila hata...
Mmh pretty...yaani five years, with out previous history of being hurt...basi tu imebidi katika kutafuta maisha kutengana? Hebu tueleze ilikuwaje na sie tujifunze....
Nadhani haya yote yalitokana na tangazo lao...Tigo, mtandao unaokupa zaidi, kubadili jina hakuna maana labda kama wao wataona wanapoteza wateja kwa kuogopa kusema ...mie napenda Tigo..wakimaanisha mtandao wa tigo . Sio kazi yetu.
sensodyne works well for sensitivity,which occur when there is gum recession...and that is not what u r explaining,not to discredit the service you got...the problem with Tz is that for whatever cadre everyone is a doctor, and for the different cadres...how one approaches a condition might...
Pole,
Daktari wa hospitali gani? Tatizo lako inaelekea kuwa la fizi...waweza google..periodontal disease/periodontal conditions...na linasababishwa na bakteria waliopo kinywani. Tiba ni kumuona dentist atakae kufanyia uchunguzi na kukupa tiba ambapo mara nyingi ni kuondoa "calculus" ambayo huwa...
mmh sidhani kama tunaweza kumhurumia kwa hili...kwa hayo yaliyosikika tu redioni kuwa ati kidogo aingie mkenge(clouds fm) anastahili kujiuzulu kabisa. Hivi waziri wa fedha hana hata kauwezo kadogo tu kakujua kuwa kuna pyramidal schemes na hakuna uzalishaji wowote unaotokea katika hili ambao...
Nakubaliana na wewe kuwa hivi vinyago vinavyouzwa kwa watalii katika "curio shops" vinatudhalilisha.Ila inabidi tujikumbushe imekuwaje ikafikia hapo. Wanunuzi wa hivyo vinyago wanapendelea vilivyoko sokoni na hiyo imekuwa ndio chanzo cha wachongaji kuchonga aina mbali mbali za vinyago ambazo...
I think it will be good for us especially in a country like Tanzania to be specific when we talk of success, I would prefer to talk of success stories which inspires, which can be told to show to the young and also the daring that there with hard work, determination and constancy of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.